Watoto wachanga hupata chanjo nje ya muda uliopangwa kitaalamu katika baadhi ya maeneo

Joh99

New Member
May 27, 2021
4
1
Shinyanga: Kuna tatizo la chanjo za watoto wachanga katika zahanati hasa zilizopo vijijini wamama wanapeleka watoto kwajili ya chanjo kama ilivyoandikwa kwenye kadi za kliniki na matokeo yake hupata pungugufu ya vile ilivyohitajika au kukosa kabisa na jibu wanalopewa ni kusubili mpaka zitakapopatikana.

Je mtoto akikosa mtiririko mzuri wa chanjo hakuna madhara?

Kwani kuna tatizo gani hasa inayochangia baadhi ya chanjo kukosekana?
 
Shinyanga: Kuna tatizo la chanjo za watoto wachanga katika zahanati hasa zilizopo vijijini wamama wanapeleka watoto kwajili ya chanjo kama ilivyoandikwa kwenye kadi za kliniki na matokeo yake hupata pungugufu ya vile ilivyohitajika au kukosa kabisa na jibu wanalopewa ni kusubili mpaka zitakapopatikana.

Je mtoto akikosa mtiririko mzuri wa chanjo hakuna madhara?

Kwani kuna tatizo gani hasa inayochangia baadhi ya chanjo kukosekana?
Chanjo zimepangiliwa kwa muda ili zitoe Kinga kwa wakati. Mtoto akichelewa kupata chanjo mdudu akimpitia kama hana Kinga ugonjwa anaupata. Mfano surua ambayo inaweza kuua kabisa. Tishajihishane kupeleka watoto kliniki kwa wakati
 
Chanjo zimepangiliwa kwa muda ili zitoe Kinga kwa wakati. Mtoto akichelewa kupata chanjo mdudu akimpitia kama hana Kinga ugonjwa anaupata. Mfano surua ambayo inaweza kuua kabisa. Tishajihishane kupeleka watoto kliniki kwa wakati
Kasema shida clinic hakuna chanjo
 
Back
Top Bottom