TUJITEGEMEE
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 23,914
- 23,079
Sasa yeye kama Waziri kwanini asichukue hatua ya kuwafukuza kazi badala ya kulalamika!? Yeye mpaka kuweza kulalama ina maana ameona kuna ushahidi wa kutosha kutoa malalamiko yake hadharani? Je amechukua hatua zipi hadi sasa kupambana na hao watoto wa vigogo!?
Jamani mmesahau alichofanyiwa na Waziri mkuu jimboni kwake Chato pamoja na mkuu wa kaya wakati bomoa bomoa ya waliojenga katika hifadhi ya barabara imepamba moto?