William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,588
- 10,375
WAKATI watumishi wengine tisa wa Benki Kuu (BoT), wakifunguliwa kesi mahakamani kwa kughushi vyeti, watumishi wengine 18, maarufu kama watoto wa vigogo waliodaiwa kuajiriwa kinyemela wamebainika kuwa na sifa stahili.
Wakuu naomba kusema hivi, hapa dawa kutafuta facts against haya maneno na kuziweka hapa, yaani tutafute ukweli wa elimu zao na CV zao ziwekwe hapa ili ukweli uonekane wazi kama kuna uongo na ukweli na hii habari,
Mana katiba ya taifa letu inawaruhusu hawa watoto wa viongozi kufanya kazi katika mashirkika yetu ya umma pia, lakini pia katiba hii haiwaruhusu kupewa nafasi hizo bila ya kwua na qualifications zinaotakuwa au kuingizwa wka ujanja ujanja, lakini ni lazima uwepo ushahidi kama kumefanyika faulo,
Sasa tuutafute na tuuweke hapa!