Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,902
- 155,991
Wako wapi watoto wa Amina Chifupa?
Wanaishi na nani?
Wadau nisaidieni
Wanaishi na nani?
Wadau nisaidieni
Wako wapi watoto wa Amina Chifupa?
Wanaishi na nani?
Wadau nisaidieni
Hivi Bujibuji hujatumia kilevi kweli hii weekend? Unashindwa kuulizia watoto wanaojifunika mabox hapo Kariakoo badala yake unauliza watoto wa geti Kali!!!
Geti kali?thubutu yako kila kitu Wazazi waliondoka navyo,ulishaona tena magari yoyote yaliyoandikwa Kitendawili hapa Mjini?
kama waliondoaka nayo, basi ndiyo yatawarudisha yaani watarudi nayo.
Ndugu tunao wamejaa tele kama pishi la mchele
Hivi Bujibuji hujatumia kilevi kweli hii weekend? Unashindwa kuulizia watoto wanaojifunika mabox hapo Kariakoo badala yake unauliza watoto wa geti Kali!!!
Niko Massanza Kona hapa natoka lhale nimeambiwa na nabii mkandamizaji niwatafute
Niko Massanza Kona hapa natoka lhale nimeambiwa na nabii mkandamizaji niwatafute