Hata nchi zetu maskini zinajua family planning kuliko UK ya sasa.Ni kawaida kukuta
akina mama wana watoto na different fathers.Hii ipo sana kwenye jamii ya watu weusi!
Karibu ya 50% ya akina mama weusi ni single mothers.Ndio hapo matatizo huanza kwa vijana
wanaolelewa na single mothers,study inaonyesha kuwa vibaka wengi jijini London,wanatoka katika single mother family.