Watetea wa haki za binadamu waomba ushirikiano wa wenzao ulimwenguni kuhusu madaktari

mkweremkwere

New Member
Jul 9, 2012
4
3
Taarifa nilizata hivi punde ni kwamba watetezi wa hakinza binadamu wamewasilisha maombi kwa asasi za kimataifa zinazojihusisha na masuala ya haki za binadamu kuingilia kati mgogoro unaoendelea nchini kati ya madaktari na serikali. Chanzo cha kuaminika kinaendelea kutafuta nakala ya barua ya maombi hayo ambayo yanalenga kupata ushauri na kuibana serikali kurudi katika majafilianonna kupunguza ubabe. Tutaianika barua punde tu ikipatikana
 
Taarifa nilizata hivi punde ni kwamba watetezi wa hakinza binadamu wamewasilisha maombi kwa asasi za kimataifa zinazojihusisha na masuala ya haki za binadamu kuingilia kati mgogoro unaoendelea nchini kati ya madaktari na serikali. Chanzo cha kuaminika kinaendelea kutafuta nakala ya barua ya maombi hayo ambayo yanalenga kupata ushauri na kuibana serikali kurudi katika majafilianonna kupunguza ubabe. Tutaianika barua punde tu ikipatikana
Mh! Wabunge wa mabwepande watasema CDM ndo wanaowatafutia iyo sapoti.
 
nchi hii kila anayeongea ukweli na kutetea maslahi ya wengi anaambiwa ni mchadema!! Inaonekana cdm wanafaa kuongoza nchi hii kwani watatunufaisha wengi.
 
Back
Top Bottom