Mpita Njia
JF-Expert Member
- Mar 3, 2008
- 6,997
- 1,166
Iko katika kijiji kinaitwa Mandawa, wilaya ya Kilwa, mkoani Lindi... ni mbali sana na ZenjiHiyo Block 7 ndo iko Zenj?
Iko katika kijiji kinaitwa Mandawa, wilaya ya Kilwa, mkoani Lindi... ni mbali sana na ZenjiHiyo Block 7 ndo iko Zenj?
Mafuta yote ni mafuta ya CCM na nyinyi Watanzania MRIE tu. "Waheshimiwa" watapewa mamilion ya shares katika kampuni husika na kuwa mabilionea na nchi kuambulia 3% royalties. Naam Jasusi, hakuna nchi hata moja ya Afrika yenye mafuta mabyo ina rekodi nzuri katika rasilimali hii na ukitilia maanani mikataba ya uchimbaji wa dhahabu ambayo tumeliwa basi hapa pia ni lazima tuliwe kama ambavyo itakavyokuwa kwenye uranium.
Tusubiri tuone.According to the Wall Street Journal new oil reserves estimated at 1B Bbl/oil has been discovered by Dominion Tanzania in Tanzania
According to the Wall Street Journal new oil reserves estimated at 1B Bbl/oil has been discovered by Dominion Tanzania in Tanzania
Geza, naomba uweke link ya hio WSJ article please..:biggrin1:
Hiyo Block 7 ndo iko Zenj?
Kang,
..Zenj hawajaruhusu makampuni ya mafuta kufanya utafiti ktk maeneo yao.
..ramani za TPDC zinaonyesha blocks zilizoko Zenj ni # 9 mpaka # 12.
..click kwenye link hapa chini:
http://www.tpdc-tz.com/activity-NOVEMBER-2009.pdf
sina ninachokijua kuhusu uranium, ni update basi
Zanzibar na Pemba ni Block 9-12
Nitalia sana iwapo hizo blocks hazitakuwa na mafuta ya kutosha kuzalishwa na sijui ndugu zangu kama watajenga hoja kuwa mafuta yarudishwe kwenye muungano iwapo bara yataonekana kuwa mengi sana.
NOOR OIL AND INDUSTRIAL TECHNOLOGY CONSORTIUM
PRESS RELEASE
Date: 11th May 2010
Location: Dar es Salaam - Tanzania
large project funding of approximately $6 billion is clearly a very significant challenge.??????????????
(NOITC) has successfully acquired initial funding for the implementation of both their Oil Refinery and Oil Pipeline (between Dar es Salaam, Mwanza, and Kigoma !!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
For more information click HERE
THE COMPANY ADDRESS IS
MINOO DAVAR
PRESIDENT
NOIT HQ. USA
Corporate Address
P. O. Box 6878 Thousand Oaks.
CA. 91359 USA
it has no Physical address this means even if you go to CA you can not even see its HQ, Na hapa TZ office zake ziko wapi???? kampuni kubwa kama hii.????
ISN'T THIS ANOTHER RICHMOND IN ANOTHER T-SHIRT??????