MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,011
- 16,748
Narudia...
Watanzania wenye Akili wanataka kuona nchi inakimbia Kimaendeleo na si Ikulu Mpya ikisifiwa na Wanafiki na Mafisadi.
Kwa mfano Ikulu ya Rwanda ni ya kawaida mno kuliko hata zote Afrika ikikaliwa na Rais Intelligent (brainy) Paul Kagame na nchi yao inakaribia hata kuziacha nchi zingine zilizotangulia kupata Uhuru, Kubwa Kijiografia ila zenye Mazuzu na Washamba wengi Wanaojitambua na Wasiojitambua.
Eti Ikulu yetu Mpya ni Kubwa na Nzuri kuliko zote Barani Aftika sasa hii in Connection gani na Maendeleo yetu na haya Maisha ya Watu Magumu?
Tumebakiza tu sasa kutangaza kwa Mikogo kuwa Taifa letu ndiyo Kinara wa Ushamba na Uzuzu Barani Afrika.
Mnaboa!
Watanzania wenye Akili wanataka kuona nchi inakimbia Kimaendeleo na si Ikulu Mpya ikisifiwa na Wanafiki na Mafisadi.
Kwa mfano Ikulu ya Rwanda ni ya kawaida mno kuliko hata zote Afrika ikikaliwa na Rais Intelligent (brainy) Paul Kagame na nchi yao inakaribia hata kuziacha nchi zingine zilizotangulia kupata Uhuru, Kubwa Kijiografia ila zenye Mazuzu na Washamba wengi Wanaojitambua na Wasiojitambua.
Eti Ikulu yetu Mpya ni Kubwa na Nzuri kuliko zote Barani Aftika sasa hii in Connection gani na Maendeleo yetu na haya Maisha ya Watu Magumu?
Tumebakiza tu sasa kutangaza kwa Mikogo kuwa Taifa letu ndiyo Kinara wa Ushamba na Uzuzu Barani Afrika.
Mnaboa!