Watanzania wengi wadaiwa sugu wa Bodi ya Mikopo... Mwongozo tafadhali...?

hivi kwa wale wanaokatwa deni, huwa wanakata bei gani kwenye kipato chao/chenu!! mimi nami ni mnufaika na mkopo na ninadaiwa LOL
 
sijisikii any obligation kulipa kwani its my parents money, payee nnayokatwa ni kubwa na haifanyi kazi yoyote, nalipa umeme kwa cost kubwa, nabambikiwa bili za maji nikienda kulalamika inabadilishwa tu kwa mkono, nalipa road licence ya gari, kila bidhaa ninayonunua inalimwa kodi hizo ni pesa chache tu nnazokatwa so wakachukue huko!
 
nilifuatilia Kenya mwaka jana kuna mtu alikosa nafasi muhimu kwenye Tume ya Uchaguzi(hii mpya) japo aliperform vizuri kwenye interview baada ya madai ya deni kama hili kuibuka.
 
Nafikiri HELSB ina watu wasiojua kazi. Haitoshi kuweka majina tu wanatakiwa kuweka na kiasi. Halfu kila siku katika mkataba wa mkopo kunatakiwa kuwa na makubaliano ya mkopo. Ukiangalia kuanzia 2005 kurudi chini sheria inayounda HELSB haikuwepo. Nina hakika kabisa kuwa kama watawafanyia vurugu watu wote waliomaliza chini ya 2005, basi wanasheria wanaweza kuwabuluza mahakamani na kujikuta wanashindwa.

1. Huwezi kuweka sheria ikaanza kutumika restrospectively, ni lazima itumike pale inapoanzia
2. HELSB haina mamlaka ya kuwadai waliokopeshwa kabla ya 2005, hiyo ni dhamana ya wizara ya elimu ya juu wakati
3. wanatakiwa kuwakilisha form ya mkataba mahakamani kati ya HELSB na mwanafunzi. hivyo watakuwa hawana.

HELSB inatakiwa kutumia busara sana kuwadai wanafunzi wote wa chini ya 2005. Wakitumia vitisho wanakaribisha legal challenges.
 
Nafikiri HELSB ina watu wasiojua kazi. Haitoshi kuweka majina tu wanatakiwa kuweka na kiasi. Halfu kila siku katika mkataba wa mkopo kunatakiwa kuwa na makubaliano ya mkopo. Ukiangalia kuanzia 2005 kurudi chini sheria inayounda HELSB haikuwepo. Nina hakika kabisa kuwa kama watawafanyia vurugu watu wote waliomaliza chini ya 2005, basi wanasheria wanaweza kuwabuluza mahakamani na kujikuta wanashindwa.

1. Huwezi kuweka sheria ikaanza kutumika restrospectively, ni lazima itumike pale inapoanzia
2. HELSB haina mamlaka ya kuwadai waliokopeshwa kabla ya 2005, hiyo ni dhamana ya wizara ya elimu ya juu wakati
3. wanatakiwa kuwakilisha form ya mkataba mahakamani kati ya HELSB na mwanafunzi. hivyo watakuwa hawana.

HELSB inatakiwa kutumia busara sana kuwadai wanafunzi wote wa chini ya 2005. Wakitumia vitisho wanakaribisha legal challenges.

Kweli mzee, nafikiri ingekuwa vizuri kama wangeandika na kiasi pia. Mimi nilikuwa ile intake ya kwanza ya mwaka 1994/95. Sincerely sikujua kama nadiwa mpaka about two years ago walipo publish majina gazetini. Nilijaribu kutuma e-mail kuwaulizia lakini hakuna mtu anajibu pale.

Kama wanataka kuwashtaki watu wote hao basi gharama za kesi zitakuwa ni kubwa kuliko hata wanazodai. Vilevile inawezekana kesi zikawabadilikia ikabidi wao ndiyo walipe fidia mwishoni, maana miaka ile ya 94/95 sidhani kama kulikuwa na sheria hiyo ya mikopo na wala bodi haikuwepo!!
 
Kweli mzee, nafikiri ingekuwa vizuri kama wangeandika na kiasi pia. Mimi nilikuwa ile intake ya kwanza ya mwaka 1994/95. Sincerely sikujua kama nadiwa mpaka about two years ago walipo publish majina gazetini. Nilijaribu kutuma e-mail kuwaulizia lakini hakuna mtu anajibu pale.

Kama wanataka kuwashtaki watu wote hao basi gharama za kesi zitakuwa ni kubwa kuliko hata wanazodai. Vilevile inawezekana kesi zikawabadilikia ikabidi wao ndiyo walipe fidia mwishoni, maana miaka ile ya 94/95 sidhani kama kulikuwa na sheria hiyo ya mikopo na wala bodi haikuwepo!!

Mkuu hawa jamaa wa HELSB ni muendelezo wa rushwa. Wanafanya hivi ili waonekane wanachukua jitihada.

Kuna mtu nina mfahamu kwa sasa anaishi US alikuja Tanzania kutembea miaka miwili iliyopita. Aliwafuata jamaa pale TIRDO na kuwaomba wampatie mchanganua wa deni lake yeye alitaka kulilipa lote kwa mkupuo (lump sum) aondokane nao. Jamaa wakampeleka FARAGHA na kumtaka awakatia kama TZS 3m (rushwa) wamfute kwenye list kwani hawana data sahihi. Jamaa akawaambia atarudi next day hakutia timu tena na kusema kuwa jamaa hawafai, kwani alikuwa hana uhakika kwamba jina lake litafutwa na pia yeye anasema alitaka kulipa ili kuchangia kwa wadodgo zake ambao nao wanapata mkopo. Sasa kilichomuuma ni kuona watu wanataka kuweka fedha mfukoni mwao.
 
mtoa maada, ile list imeandikwa tu, wala haijachujwa, wengi tunalipa na majina bado yamo!

Hawa jamaa wa HESLB ni wapuuzi sana tu....
Binafsi nimeanza kulipa muda mrefu tu, na bado wameniweka kwenye listi yao......
 
HELSB is a bunch of very incompetent people, they hardly have data. What they can do best is only reprint the list that they used to pay, no data. Is there a chance for suing them?
 
Mimi nasubiri wanipe kazi, waniambie nadaiwa kiasi gani alafu waanze kukata, kama watanionyesha mkataba niliyosaini. Kama wanajeuri waninyanganye degree yangu.
Nalipa kodi nyingi serikalini kwa hiyo roho yangu hainisuti.
 
Back
Top Bottom