WaTanzania wengi ni Makapuku na Wacheza Kamari

biashara yeyote ambayo huzalishi kitu bidhaa au huduma hiyo ni kamali...

usa, europe na asia zimeendelea kwa viwanda sio maigizo ya kushinda online ku predict hela flan itapanda na flani itashuka..

jasho ndio njia ya mafanikio ya kweli ndio maana kuna kitu kinaitwa GDP na GNP..

forex ni kamali tu maana ni ubashiri kama kubet tu
Safi sana mkuu
 
biashara yeyote ambayo huzalishi kitu bidhaa au huduma hiyo ni kamali...

usa, europe na asia zimeendelea kwa viwanda sio maigizo ya kushinda online ku predict hela flan itapanda na flani itashuka..

jasho ndio njia ya mafanikio ya kweli ndio maana kuna kitu kinaitwa GDP na GNP..

forex ni kamali tu maana ni ubashiri kama kubet tu

Mbona forex ni topic na tulifundishwa?
 
Back
Top Bottom