Chromium
JF-Expert Member
- Apr 17, 2008
- 589
- 185
Wala usiwe na shaka, kuwataja tu haitoshi na hatua zinazostahiki zitachukuliwa. Subiri, ujuwe watu wa unga ni watu hatari sana, kuna nchi mpaka wameingia mwituni wanapigana na Serikali zao, inatakiwa uwe na akili kuyajuwa hayo. Vita na wauza unga ina hasara zake na faida zake ni lazima utumie mbinu za hali ya juu na si kukurupuka tu, utadondokea pua.
Na kama nilivyoeleza hapo juu, Jakaya Mrisho Khalfan Kikwete si mtu wa kukurupuka, ni mtu ambae yupo "organized" anafanya mambo yake kwa kupanga na kwa umakini mkubwa sana. Hilo usiwe na shaka nalo.
Nimenote point muhimu: Madawa ya kulevya yana faida na hasara zake....ndio maana Jakaya Mrisho Khalfan Kikwete anashughulikia mambo haya kwa umakini mkubwa. Umesomeka Faiza Foxy