Kibo10
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 11,277
- 8,840
Huu ndio ukweli kwa haya machache tu,Nikuwapa kura CDM na kuwatema Ccm asubuhi tu.Washashindwa
2010 "Chadema elimu itakuwa bure"Ccm haiwezekani"
2010"Chadema tutaanzisha mchakato wa kuandika katiba mpya"Ccm haiwezekani"
2010"Chadema tutaunda baraza dogo la mawaziri wasiozidi 20"Ccm haiwezekani"
Miaka mitano baadaye Ccm wanacheza ngoma hiyo hiyo na la katiba wakalivamia likawashinda.Tujitahidi kutunza kumbukumbu watz wenzangu,Itaturahisishia kufanya maauzi sahihi kwa matapeli wote wa kisiasa.Na washajulikana.
2010 "Chadema elimu itakuwa bure"Ccm haiwezekani"
2010"Chadema tutaanzisha mchakato wa kuandika katiba mpya"Ccm haiwezekani"
2010"Chadema tutaunda baraza dogo la mawaziri wasiozidi 20"Ccm haiwezekani"
Miaka mitano baadaye Ccm wanacheza ngoma hiyo hiyo na la katiba wakalivamia likawashinda.Tujitahidi kutunza kumbukumbu watz wenzangu,Itaturahisishia kufanya maauzi sahihi kwa matapeli wote wa kisiasa.Na washajulikana.