waacheni wafu wazike wafu wao jamani
embu hangaikeni hili la sukari 4500 jhuko kigoma mafuta lita 5000 tanzania hii hii
hao kama vipi wajilipue huku wala akuna issue tena na aata wakimaliza wanakuja kwenye matatizo tu kama wanasoma hili naamini nimewapa msaada mkubwa waende chooni wachane passport zao zote waflash choo kimoja'
then waende ubalozi wa un wadai wametoka kenya akfai kabisa alshababu wanaua kwa kwenda mbele wanaingia kambini safiiiiiiiiiiiiii perdiem per day nini wanataka tena hiyo shule itarudi tu wakiweka mambosawa