Malilambwiga
JF-Expert Member
- Jul 19, 2015
- 485
- 296
Maelezo mengi hayasaidii. Ksa kuwz fedha zinazohifadhiwa kwenye mifuko hii ni za wanachama zilizokatwa kutoka kwenye mishahara yao, mtumishi akistasfu apewe fedha zake zote na serikali isijibebeshe jukumu la kulea wazee wastaafu kupitia mafao yao.
Kingine ni kwamba, serikali imekuwa ikizitumia fedha za mifuko hii ipendavyo ikiwemo kukopa na wakati mwingine fedha hizi kutumika kwenye uwekezaji wa kujenga miradi ya kiuchumi mfano majengo ya kupangisha, na sasa inajenga viwanda vya sukari wakati wanachama wrnye fedha zao hawanufaiki na fauda inayotokana na uwekezaji huo wala mifuko haiingii makubaliano yoyote ya kugawana gawio na walioweka fedha zao. Huu ni wizi na hili halikubaliki.
Tunataka mwanachama awe na sauti na fedha zake na siyo serikali ndiyo iwe na sauti na fedha za mtu halafu impangie inampa kissi gani au atumieje.
Kingine ni kwamba, serikali imekuwa ikizitumia fedha za mifuko hii ipendavyo ikiwemo kukopa na wakati mwingine fedha hizi kutumika kwenye uwekezaji wa kujenga miradi ya kiuchumi mfano majengo ya kupangisha, na sasa inajenga viwanda vya sukari wakati wanachama wrnye fedha zao hawanufaiki na fauda inayotokana na uwekezaji huo wala mifuko haiingii makubaliano yoyote ya kugawana gawio na walioweka fedha zao. Huu ni wizi na hili halikubaliki.
Tunataka mwanachama awe na sauti na fedha zake na siyo serikali ndiyo iwe na sauti na fedha za mtu halafu impangie inampa kissi gani au atumieje.