Nawapa pongezi viongoz shupavu ktk bunge letu walio simama kunyoosha kidole kwa serikali, Mungu azidi kuwabariki na kuwa maisha Marefu sana. Mungu anampango mzito na Taifa hili nahil ni lazima liwe wazi sana. Wale walio wezi na mafisadi mwisho wao umefika zile Arobaini zimefika, namsishangae kuona mawaziri, wakurugenz wakipandishwa kizimban nakufilisiwa. Yes wamewatia watanzania hasara nakuwafanya watanzania niwajinga. The end has come.