Watanzania tujue haki zetu

Pelham 1

JF-Expert Member
Feb 29, 2012
548
99
Juzi nilipanda gari za Mwenge-Post tulivyofika Magomeni mataa Trafiki akakamata gari kisa lilipakia eneo lisilomaalum tukambiwa tuteremke imagine mda huo daladala nyingi zilikuwa top turijaribu kukomaa kwakuwa tulikuwa wachache wengi walishashuka ndipo Trafiki alipopata mwanya na kumuaru Dereva apeleke gari kituoni, Trafiki alikuwa anaka pesa na kihalali ilibidi trafiki anot namba ya gari then itufikishe ndipo iende kituoni
 
Mngeongea nae mumuelimishe....
Karibu jukwaa la Hoja mchanganyiko...
Humu ni utambulisho tu...
 
Back
Top Bottom