Exaud J. Makyao
JF-Expert Member
- Nov 30, 2008
- 1,518
- 22
Ninapokumbuka kwamba uchaguzi mkuu wa rais na wabunge utafanyika mwaka kesho,
naona ni vema tukashauriane mambo muhimu ya kujiandaa ili uchaguzi huo uwe wa mafanikio makubwa.Tena uwe huru na wa haki ya kweli.
naona ni vema tukashauriane mambo muhimu ya kujiandaa ili uchaguzi huo uwe wa mafanikio makubwa.Tena uwe huru na wa haki ya kweli.