NostradamusEstrademe
JF-Expert Member
- Jul 1, 2017
- 3,032
- 4,028
Hii tabia ya kuchangia harusi hadi milioni 26 watu wanakula siku moja na kujisifu watu walikunywa sana itaisha lini?
Mtu kaishi na mkewe miaka 20 hadi watoto wamefika vyuo anaamua kubariki ndoa anaomba achangiwe miaka yote alikuwa wapi?
kwani bila sherehe ndoa haifungwi
Tuige tabia ya nchi ya Ghana hawana mila za kuchangia watu kufanya harusi unafanya harusi wewe unaandaa wewe mwenyewe kwa uwezo ulio nao siku ya harusi watu wanakuja na zawadi za kufa mtu.
Wenzetu Kenya kidogo sio kama sisi Watanzania.
Ajabu harusi imechangiwa milioni 26 bwana na bibi harusi wakitoka hapo wanatoka kwenda kuishi maisha ya ukiwa na umasikini.
Kwa siku hiyo ya furaha kwa watu wengine inakuwa siku ya kuharibika kwa mauhusiano ya kindoa au kuvunjika kabisa unakuta mkewe kalewa sana anafanya vituko vya ajabu sana ukumbini.Hata kukojoa mbele ya kadamnasi na mwingine hata kubakwa.
Hili nimelishuhudia kwa macho yangu hiyo ndoa hadi leo haipo na ndio chanzo cha kutoa uzi huu.
Ajabu sasa ukiuguliwa hakuna mtu anakuchangia
Ajabu sasa watanzania tulivyo andaa harusi yako wape watu kadi wao waje kula tu na kunywa wasipate tabu watu hawaji kabisa wanasema nitakwendaje harusi sijachangia huu ni upimbi wa kiwango cha LAMI
Mtu kaishi na mkewe miaka 20 hadi watoto wamefika vyuo anaamua kubariki ndoa anaomba achangiwe miaka yote alikuwa wapi?
kwani bila sherehe ndoa haifungwi
Tuige tabia ya nchi ya Ghana hawana mila za kuchangia watu kufanya harusi unafanya harusi wewe unaandaa wewe mwenyewe kwa uwezo ulio nao siku ya harusi watu wanakuja na zawadi za kufa mtu.
Wenzetu Kenya kidogo sio kama sisi Watanzania.
Ajabu harusi imechangiwa milioni 26 bwana na bibi harusi wakitoka hapo wanatoka kwenda kuishi maisha ya ukiwa na umasikini.
Kwa siku hiyo ya furaha kwa watu wengine inakuwa siku ya kuharibika kwa mauhusiano ya kindoa au kuvunjika kabisa unakuta mkewe kalewa sana anafanya vituko vya ajabu sana ukumbini.Hata kukojoa mbele ya kadamnasi na mwingine hata kubakwa.
Hili nimelishuhudia kwa macho yangu hiyo ndoa hadi leo haipo na ndio chanzo cha kutoa uzi huu.
Ajabu sasa ukiuguliwa hakuna mtu anakuchangia
Ajabu sasa watanzania tulivyo andaa harusi yako wape watu kadi wao waje kula tu na kunywa wasipate tabu watu hawaji kabisa wanasema nitakwendaje harusi sijachangia huu ni upimbi wa kiwango cha LAMI