STEIN
JF-Expert Member
- Aug 29, 2010
- 1,770
- 553
Matokeo ya Arumeru yametufundisha mambo mengi sana kwanza watu wengi kuanzia ile asubuhi wanajitambulisha kama wana CDM..
Siko zote watu hawa walikuwa wanasifia na kukataa kuamini kama CDM itashinda, Kila wakisikia CDM imefunika mkutano fulani utasikia Ahhh.. wengi hapo si wapiaga kura Ohh CCM wana mbinu nyingi sana... Mara ohh labda kama vyama vyote vya upinzani vingeungana.... Mara hili... Lile hadi wanachosha lakini Leo kila moja utasikia Hongera aise tumeshinda!!!!!!!!
Ushindi unaanzia mwanzo wa Kampeni hadi siku ya kutangaza KUra na si kukatishana tamaa hadi mwisho...
Siko zote watu hawa walikuwa wanasifia na kukataa kuamini kama CDM itashinda, Kila wakisikia CDM imefunika mkutano fulani utasikia Ahhh.. wengi hapo si wapiaga kura Ohh CCM wana mbinu nyingi sana... Mara ohh labda kama vyama vyote vya upinzani vingeungana.... Mara hili... Lile hadi wanachosha lakini Leo kila moja utasikia Hongera aise tumeshinda!!!!!!!!
Ushindi unaanzia mwanzo wa Kampeni hadi siku ya kutangaza KUra na si kukatishana tamaa hadi mwisho...