Huihui2
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 5,329
- 8,044
Huyo JPM alilinda raslimali gani? Au umesahau ule uwendawazimu wake wa kujenga miundombinu mikubwa kijijini kwake Chato? Sasa ile Airport imebakia ni sehemu ya popo kunyea mavi usiku tuTaifa linapita gizani kana kwamba hakuna watu wanaoweza kulifikisha mahali pazuri kabisa tena kwa muda mfupi tu.
Taifa linaangamia kanakwamba halina wasomi wanaoweza kulifanya transformation.
Kiongozi anayeweza kulifanyia transformation Taifa
IV. Awe tayari hata kupoteza Maisha yake kwa ajili ya kuzikomboa na kuzilinda Rasilimali za Nchi yetu(Kama alivyokuwa JPM)