Geeque
JF-Expert Member
- Aug 17, 2007
- 936
- 316
Hivi Serikali iko wapi ili kuweza kuhakikisha mauaji kama haya hayatokei, lini serikali imeweza kuwachukulia hatua washiriki wa mauaji kama haya? Tunajua iliwachukua muda muda mrefu kwa viongozi wetu kukubali kulikuwa natatizo la mauaji ya albino. WARNING: GRAPHIC VIDEO VIEWERS DISCRETION IS STRONGLY ADVISED.
http://www.eastafricantube.com/media/25226/Petty_Thieves_Burned_to_Death_in_Tanzania-_East_Africa/
Hii clip nimeamua kuiweka kwenye siasa ili wengi waione lakini Moderator unaweza kuihamisha hapo baadae.
SAHIHISHO: BAADA YA UTAFITI IMEGUNDULIKA VIDEO HII HAIKUCHUKULIWA NDANI YA TANZANIA BALI KENYA, SAMAHANI KWA USUMBUFU ULITOKEA KUHUSIANA NA RAIS KIKWETE NA VIONGOZI WA TANZANIA KUHUSISHWA NA VIDEO HII.
http://www.eastafricantube.com/media/25226/Petty_Thieves_Burned_to_Death_in_Tanzania-_East_Africa/
Hii clip nimeamua kuiweka kwenye siasa ili wengi waione lakini Moderator unaweza kuihamisha hapo baadae.
SAHIHISHO: BAADA YA UTAFITI IMEGUNDULIKA VIDEO HII HAIKUCHUKULIWA NDANI YA TANZANIA BALI KENYA, SAMAHANI KWA USUMBUFU ULITOKEA KUHUSIANA NA RAIS KIKWETE NA VIONGOZI WA TANZANIA KUHUSISHWA NA VIDEO HII.