Chademakwanza
JF-Expert Member
- Jun 11, 2014
- 6,346
- 1,871
Walijua rushwa inakua,kwa kuwa wao ndani ya ccm,hauwezi kupita bila kutoa rushwa
Ccm ilijua,kuwa hakuna maji,
Ccm ilijua,hakuna umeme wa kubabaisha umekuwepo tangu uhuru,
Ccm walikuwepo ( wakiwa na baraza la mawaziri) walipomshauri Rais kama ilivyo ajenda yao ya kutegemea misaada kwenye bajeti yao tangu 2000-2015,
Walikuwemo ndani ya baraza lao,walipokubaliana kuuza viwanda vyetu,
Walikuwepo ndani ya bunge na baraza la mawaziri,walipogundua gape la walionacho na wasionacho likikua,
Walikuwepo wakati fedha nyingi zilizopelekwa Tamisemi kwenye Halmashauri lakini zililiwa na CAG ametumia miaka 15 kutoa maeneo ya wizi wa fedha hizo za miradi ya maendeleo,
Walikuwepo,walipopitisha sera ovu za Elimu,Afya ambapo ahadi ya wakina mama wajawazito,watoto na wazee hawakupaswa kulipa gharama za matibabu,
Walikuwepo wakati walipopitisha na kuacha sheria zivunjwe!
Walikuwepo walipopitisha sheria ya Elimu kuwashirikisha wazazi kuchangia elimu huku wakijua kuwa wanaiba?
Walikuwepo wakati kupanda gharama za msisha kutoka unga tsh 250-2500!,sukari toka tsh 600hadi 2500?
Walikuwepo wakati matatizo ya walimu ya mshahara mdogo,Waajiri 3 ,Tamisemi,Tume ya utumishi,wizara ya Elimu na Mkurugenzi kiasi kwamba matatizo yao yalibaki yakipigwa dabadana!
Walikuwepo madai ya walimu,mishahara,malimbikizo, nauli za likizo ambazo kwa mujibu wa sheria waliyoitunga inapaswa kumlipa mtumishi na mme au mke na msaidizi mmoja,lakini leo wanasema walimu ni wengi mno,mara kama ualimu hauna dili katafute kazi nyingine( Mwantumu Mahiza) ,na pia kukosa kujengewa nyumba,
Walikuwepo walipoona walimu wakishangaa madarasa yakijengwa hayana umeme wala hakuna choo cha walimu ila cha wanafunzi kipo!
Walikuwepo wakati ccm inatangaza KDA kigamboni kwa nguvu,leo inasema imefuta sababu ya uchaguzi,ila ukiisha sheria iko palepale mikataba waliyoingia hakuna mahala walipoivunja!
Walikuwepo wakati 1990-2015 Timu ya Taifa ya riadha na ile ya miguu na michezo mingine ikifa!
Walikuwepo walipofanya maamuzi magumu ya kuiba fedha za Wananchi na kusimama bungeni kuwaita watu tumbili huku Escrow wakiweka mifuko hadi hata wanaoishi nyumba ya watanzania iitwayo takatifu .
Walikuwepo walipokubali mazao kama pamba,ngano,karafuu,nazi kahawa na mengine yalipokosa soko la uhakika na wakulima kuvunjika moyo!
Walikuwepo wakati wakiona,madini,almasi,dhahabu na Tanzanite wazungu wa Afrika kusini wakibeba kwa helkopita na kwenda kusafishia kusini!
Walikuwepo wakati watu takribani ajali zipatazo 2500 zikiua karibu watu laki 40000 tangu 1995-2015 na kuacha mayatima ambao hata Elimu,tiba na chakula imekuwa shida!
Walikuwepo wakati Sheria ya Takrima,Sumaye akiipitisha na wenzake!
Walikuwepo wakati David Mwangosi,Absalom kibanda ,Ulimboka,Mbwambo na pale soweto walipovamiwa kupigwa,kung'olewa meno,kumwagiwa tindikali na wengine kutupiwa bomu la kurushwa na mikono.
Walikuwepo wakati shilingi ya Tanzania ikishuka kisa sisi hatuuzi ila tunaagiza hakukuwa na juhudi ya kukuza uchumi ila kuna juhudi ya kuiba na kuvorwsha maisha ya mtu kiongozi baki!
Walikuwepo wakati machinga,bodaboda ,mama ntilie wakipigwa,kuzolewa na kunyang'anywa mali zao!
Hao ndio watangaza nia ya kuwakomboa watanzania kutoka lindi la umaskini, leo hii kila mmoja anatangaza nia?
Tutakuwa watanzania wa ajabu tukikubali kuwa ndani ya ccm kuna mtu!
Wagombea hawa,ni wote wamewahi kukaa kwenye baraza la mawaziri na baraza la ulinzi na usalama,walifanya nini?
Watanzania,mlakunde anasahau lakini mtupa maganda hawezi kusahau ccm haifai!
Mazoea huzaa tabia umefika muda ambapo chupa yeye kuwekwa mvinyo ileile tuikatae!
Tanzania nchi ya amani ,uchumi imara,maisha ya kati, na usalama inawezekana achaneni na mazoea ukawa ndio umoja wenye tija kwawananchi inawezekana,ni kuwa na kadi yako ya kupigia kura, kuwahi siku ya kupiga,"amua kwa ajili ya watoto na wajukuu wako"
Ccm ilijua,kuwa hakuna maji,
Ccm ilijua,hakuna umeme wa kubabaisha umekuwepo tangu uhuru,
Ccm walikuwepo ( wakiwa na baraza la mawaziri) walipomshauri Rais kama ilivyo ajenda yao ya kutegemea misaada kwenye bajeti yao tangu 2000-2015,
Walikuwemo ndani ya baraza lao,walipokubaliana kuuza viwanda vyetu,
Walikuwepo ndani ya bunge na baraza la mawaziri,walipogundua gape la walionacho na wasionacho likikua,
Walikuwepo wakati fedha nyingi zilizopelekwa Tamisemi kwenye Halmashauri lakini zililiwa na CAG ametumia miaka 15 kutoa maeneo ya wizi wa fedha hizo za miradi ya maendeleo,
Walikuwepo,walipopitisha sera ovu za Elimu,Afya ambapo ahadi ya wakina mama wajawazito,watoto na wazee hawakupaswa kulipa gharama za matibabu,
Walikuwepo wakati walipopitisha na kuacha sheria zivunjwe!
Walikuwepo walipopitisha sheria ya Elimu kuwashirikisha wazazi kuchangia elimu huku wakijua kuwa wanaiba?
Walikuwepo wakati kupanda gharama za msisha kutoka unga tsh 250-2500!,sukari toka tsh 600hadi 2500?
Walikuwepo wakati matatizo ya walimu ya mshahara mdogo,Waajiri 3 ,Tamisemi,Tume ya utumishi,wizara ya Elimu na Mkurugenzi kiasi kwamba matatizo yao yalibaki yakipigwa dabadana!
Walikuwepo madai ya walimu,mishahara,malimbikizo, nauli za likizo ambazo kwa mujibu wa sheria waliyoitunga inapaswa kumlipa mtumishi na mme au mke na msaidizi mmoja,lakini leo wanasema walimu ni wengi mno,mara kama ualimu hauna dili katafute kazi nyingine( Mwantumu Mahiza) ,na pia kukosa kujengewa nyumba,
Walikuwepo walipoona walimu wakishangaa madarasa yakijengwa hayana umeme wala hakuna choo cha walimu ila cha wanafunzi kipo!
Walikuwepo wakati ccm inatangaza KDA kigamboni kwa nguvu,leo inasema imefuta sababu ya uchaguzi,ila ukiisha sheria iko palepale mikataba waliyoingia hakuna mahala walipoivunja!
Walikuwepo wakati 1990-2015 Timu ya Taifa ya riadha na ile ya miguu na michezo mingine ikifa!
Walikuwepo walipofanya maamuzi magumu ya kuiba fedha za Wananchi na kusimama bungeni kuwaita watu tumbili huku Escrow wakiweka mifuko hadi hata wanaoishi nyumba ya watanzania iitwayo takatifu .
Walikuwepo walipokubali mazao kama pamba,ngano,karafuu,nazi kahawa na mengine yalipokosa soko la uhakika na wakulima kuvunjika moyo!
Walikuwepo wakati wakiona,madini,almasi,dhahabu na Tanzanite wazungu wa Afrika kusini wakibeba kwa helkopita na kwenda kusafishia kusini!
Walikuwepo wakati watu takribani ajali zipatazo 2500 zikiua karibu watu laki 40000 tangu 1995-2015 na kuacha mayatima ambao hata Elimu,tiba na chakula imekuwa shida!
Walikuwepo wakati Sheria ya Takrima,Sumaye akiipitisha na wenzake!
Walikuwepo wakati David Mwangosi,Absalom kibanda ,Ulimboka,Mbwambo na pale soweto walipovamiwa kupigwa,kung'olewa meno,kumwagiwa tindikali na wengine kutupiwa bomu la kurushwa na mikono.
Walikuwepo wakati shilingi ya Tanzania ikishuka kisa sisi hatuuzi ila tunaagiza hakukuwa na juhudi ya kukuza uchumi ila kuna juhudi ya kuiba na kuvorwsha maisha ya mtu kiongozi baki!
Walikuwepo wakati machinga,bodaboda ,mama ntilie wakipigwa,kuzolewa na kunyang'anywa mali zao!
Hao ndio watangaza nia ya kuwakomboa watanzania kutoka lindi la umaskini, leo hii kila mmoja anatangaza nia?
Tutakuwa watanzania wa ajabu tukikubali kuwa ndani ya ccm kuna mtu!
Wagombea hawa,ni wote wamewahi kukaa kwenye baraza la mawaziri na baraza la ulinzi na usalama,walifanya nini?
Watanzania,mlakunde anasahau lakini mtupa maganda hawezi kusahau ccm haifai!
Mazoea huzaa tabia umefika muda ambapo chupa yeye kuwekwa mvinyo ileile tuikatae!
Tanzania nchi ya amani ,uchumi imara,maisha ya kati, na usalama inawezekana achaneni na mazoea ukawa ndio umoja wenye tija kwawananchi inawezekana,ni kuwa na kadi yako ya kupigia kura, kuwahi siku ya kupiga,"amua kwa ajili ya watoto na wajukuu wako"