Zuwely salufu
Senior Member
- Oct 7, 2012
- 105
- 20
Ukiona mtu anadhani maendeleo ya yataletwa na wajomba kama OIC,WORLD BANK and the like muogope kama ukoma hana jipya. maendeleo huja kwa kufanyakazi kwa bidii,juhudi na maarifa.hao OIC wao utajiri wa kukuletea wewe wanaupata kutoka wapi? maliasili zetu zote hizi bado kuna watu wanawaza vya kuombaomba mpaka leo? ni nini hasa kinawafanya watu wawe na hulka ya kupenda vya bure.[. Mkuu umenena haswaaa....ukiona mtu anafikiria kusaidiwa badala ya kuwajibika kufanya kazi ujue akili yake ni tegemezi kwani haelewi hata hao anaotaka kujiunga nao mali yenyewe wachuma huku huku kwetu Afrika