Wataalamu wa ujenzi, ipi tofauti ya ubora kwenye Gypsum?

Mbavu za Mbwa

JF-Expert Member
Jan 2, 2011
303
154
Wakuu!!
Kuna hizi Gypsum, ni teknolojia mpya tofauti kabisa na siling boards tulizozizoea.

Naomba kujulishwa, kuna tofauti gani ya ubora kati ya Gypsum ya Tanzania( inayouzwa Tsh 13,500/-), China (Tsh 15,000), Kenya (Tsh 15,000), Malaysia (Tsh 18,000) na Touch boards za kampuni ya Ando (Tsh 15,500)??

Ipi tofauti ya ubora? Maana tunachanganyikiwa katika choice.
 
Niliwahi kwenda kiwandani kwao hao TOUCH BOARD pale Tegeta wanasema zao hazishiki moto pia hazipitishi maji sasa sijajua kama hizo nyingine nazo ni hivyohivyo au la
 
Wakuu!!
Kuna hizi Gypsum, ni teknolojia mpya tofauti kabisa na siling boards tulizozizoea.

Naomba kujulishwa, kuna tofauti gani ya ubora kati ya Gypsum ya Tanzania( inayouzwa Tsh 13,500/-), China (Tsh 15,000), Kenya (Tsh 15,000), Malaysia (Tsh 18,000) na Touch boards za kampuni ya Ando (Tsh 15,500)??

Ipi tofauti ya ubora? Maana tunachanganyikiwa ktk choice
Kwa ufupi gypsum zote hazishiki moto, tofauti ni ubora, za tz zinapukutika kirahisi na china sio nzuri sana, za india,alysia, taiwan na s. Africa zina ubora zaidi hasa maji hayapenyi kwa haraka mkuu
 
Kwa mahitaji ya vifaa vya ujenzi na gypsum double elephant tuwasiliane unaletewa mpaka ulipo ndani ya Dar
 
Heshima kwenu wadau.
Katika harakati zangu za ujenzi, namshukuru Mungu nimefika hatua ya kuweka gypsum board.

Nimejaribu kupita kwenye hardware mbalimbali eneo nilipo na nimekuta aina tofauti za gypsum board na bei zake. Zipo za Tanzania (15,000), China (16,000) na Thailand (19,500).

Ukiangalia hizo bei moja kwa moja utachagua za Thailand kwa kuwa bei yake iko juu na ni kasumba ya waliowengi kuwa bidhaa ikiwa na bei kubwa basi ndio bora.
Kwa kuwa kuna wataalam humu, naomba kupata implications za hizo bidhaa bila kuangalia bei zake.
Nashukuru sana.
 
Hizo za Thailand zipo juu sababu ya kodi na ubora, ila ni vyema ukanunua za Tanzania maana zina ubora na wana TBS accreditation. Pia utasaidia kulinda ajira za wazawa na kuinua uchumi wa nchi. Nipeni likes za kutosha.
_______________________________________
IG: @marble_na_granite
Asante kwa ushauri
 
Naona siku hizi wengi wanaonunua gypsum boards wanapendelea zile zilizoandikwa "ANDIKA".
 
mimi nikiongea kwa uzoefu wangu kama fundi nakushauri chukua gyproc ya thailand
 
Chukua za Thailand mkuu, I hope wet areas headroom ni kubwa kiasi cha kutolowesha hizo gypsum
 
Angalia kipato chako kama knaruhusu chukua gypsum za andika,screw za andika ,screw driver za andika hadi zile gundi za kuziba maungio chukua andika Hapo kasoro fundi tu ndo awe mbongo bt mambo kma hayaruhusu chukua hzi tembo za kibongo alafu pale sebuleni kwako mikanda na maua yawe amazing tena kama upo town huko gerezan kuna maua ya gypsum amazing sana kisha tafuata fundi mkali wa rangi anayeweza skimming vizuri akupakie rangi safi kabisa kisha tafuta fundi umme ukudisignie taaa za hapo sebulen kwako hapo mambo yatakuwa safi hata mtu akija hawezi jua kama hzi bodi ni za bongo au thailand na kule vyumban weka tu za kibongo ila mikanda na conice hakikisha unachukua nzuri za kuvutia .
 
Angalia kipato chako kama knaruhusu chukua gypsum za andika,screw za andika ,screw driver za andika hadi zile gundi za kuziba maungio chukua andika Hapo kasoro fundi tu ndo awe mbongo bt mambo kma hayaruhusu chukua hzi tembo za kibongo alafu pale sebuleni kwako mikanda na maua yawe amazing tena kama upo town huko gerezan kuna maua ya gypsum amazing sana kisha tafuata fundi mkali wa rangi anayeweza skimming vizuri akupakie rangi safi kabisa kisha tafuta fundi umme ukudisignie taaa za hapo sebulen kwako hapo mambo yatakuwa safi hata mtu akija hawezi jua kama hzi bodi ni za bongo au thailand na kule vyumban weka tu za kibongo ila mikanda na conice hakikisha unachukua nzuri za kuvutia .
Asante sana mkuu. Umenipa ushauri murua kabisa.
Hizo Andika ndio za Thailand?
 
Habari yako mkuu, tunaweza ongea biashara nikakupa zile za China kwa gharama ya 14800/piece. Malipo yatafanyika mzigo ukifika site. Karibu Sana
 
Back
Top Bottom