cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 86,554
- 138,803
Mwanamke aliyekuambukiza keshatibiwa, katibiwa na dawa gani ????
Ulipomwambia unaumwa akaonyesha anaujua huu ugonjwa ila wewe ndio mgeni, anaujua unaitwaje ?????
Haupo hapa kueleza matatizo yote, daktari nae ulimwambia hujaenda kumueleza matatizo yote ???????
Demu anaekuachia umsokomeze midude kinyume na maumbile kavu kavu na usaha juu anawezaje kukunyima taarifa za matibabu aliotumia, au umekuwa uki repu mtoto kinyume na maumbile na ni wewe ndio unaambuambukiza hilo li kaswende sugu na kesi iko pending... ndo maana hutaki kugusia chochote cha hali ya demu ??
Next time ukienda hospitali inabidi uonyeshe kwanza Police Form 3 ya ulikopatia hayo majeraha...