matunduizi
JF-Expert Member
- Aug 20, 2018
- 6,686
- 15,577
Nimeona watu wanamiliki maduara, wengine wanamiliki crushers tu, wanasaga mawe ya watu, wengine wanamiliki plant au elusion plants.
Wengine wanamiliki detectors wanakodisha, wengine ni wanunuzi wa dhahabu end products, wengine wanarundika michanga (marudio) yenye PPM nzuri na kuuza.
Kwa mtaji mdogo angalau million tano, ni eneo gani katika maeneo ya machimbo madogo unaweza kuwekeza mdogomdogo ili baadaye uwe mkongwe wa hii rasilimali ya taifa?
Naomba uzoefu wakuu na ushauri.
Wengine wanamiliki detectors wanakodisha, wengine ni wanunuzi wa dhahabu end products, wengine wanarundika michanga (marudio) yenye PPM nzuri na kuuza.
Kwa mtaji mdogo angalau million tano, ni eneo gani katika maeneo ya machimbo madogo unaweza kuwekeza mdogomdogo ili baadaye uwe mkongwe wa hii rasilimali ya taifa?
Naomba uzoefu wakuu na ushauri.