Sun wu pliiiiiz spare me sm pumziii uwiii wanchekeshaa bana ila kiswahili wazimu sasa dadavuz manake niniHivi kwanini hawa jamaa wanapenda kujifanya wenyewe ndio wanakuza hii lugha yetu peke yao.., hivi kuna shida gani laptop ikiitwa laputopu.., calculator ikaitwa kalukuleta, website ikaitwa webusite.., haya mambo ya dadavuzi, luninga, tovuti, (na cash mashine sijui wala sikumbuki inaitwa nini..?)
Sasa.., Je inamaanisha desktop itaitwa Dadavuzi Dawati, Dadavuzi Meza au nini ?, Jamani waache lugha ikue kutokana na watuamiji mitaani, yaani maneno wanayotumia ndio hayo yatumike
:doh: Utafikiria mtu unajifunza lugha yako, ukubwani
dadavuzi mpakato...hah hahaha ahh nimeskia TBC asbh ehh nkashangaa
awa bakita jaman wangekuwa wanasanifisha aya maneno uku wakiangalia uhalisia wa maneno..ufanano wa maneno na utumikaji wa maneno kulinganisha na mila na desturi zetu...sasa jaman eti DADAVUZI...ahh asi aibu jaman..ebu assume unamwambia mama yako mama naomba dadavuzi yako....mhh aijakaa vyema...uyu aliyetunga ili neno HANA MAADILI...ni muhuni kwa mbaaaaaali...aiwezekani from maneno yoteeeeeeeeeee iwe dadavuzi mpakato....NENO ILI MI HALIJANIBARIKI:rolleyez:
dadavuzi mpakato...hah hahaha ahh nimeskia TBC asbh ehh nkashangaa
awa bakita jaman wangekuwa wanasanifisha aya maneno uku wakiangalia uhalisia wa maneno..ufanano wa maneno na utumikaji wa maneno kulinganisha na mila na desturi zetu...sasa jaman eti DADAVUZI...ahh asi aibu jaman..ebu assume unamwambia mama yako mama naomba dadavuzi yako....mhh aijakaa vyema...uyu aliyetunga ili neno HANA MAADILI...ni muhuni kwa mbaaaaaali...aiwezekani from maneno yoteeeeeeeeeee iwe dadavuzi mpakato....NENO ILI MI HALIJANIBARIKI:rolleyez: