Wataalam wa Kiswahili ?.

Ngongo

JF-Expert Member
Sep 20, 2008
18,926
31,168
Wakati neno uboho likiwa bado linatusumbua kulitamka mbele ya hadhara wataalamu wetu wametudadavulia neno Laptop kwa kiswahili ni Dadavuzi mpakato.
 
dadavuzi mpakato...hah hahaha ahh nimeskia TBC asbh ehh nkashangaa
awa bakita jaman wangekuwa wanasanifisha aya maneno uku wakiangalia uhalisia wa maneno..ufanano wa maneno na utumikaji wa maneno kulinganisha na mila na desturi zetu...sasa jaman eti DADAVUZI...ahh asi aibu jaman..ebu assume unamwambia mama yako mama naomba dadavuzi yako....mhh aijakaa vyema...uyu aliyetunga ili neno HANA MAADILI...ni muhuni kwa mbaaaaaali...aiwezekani from maneno yoteeeeeeeeeee iwe dadavuzi mpakato....NENO ILI MI HALIJANIBARIKI:rolleyez:
 
Sijui hawa wataalamu wetu wa Kiswahili wanatupeleka wapi ?.
 
Hivi kwanini hawa jamaa wanapenda kujifanya wenyewe ndio wanakuza hii lugha yetu peke yao.., hivi kuna shida gani laptop ikiitwa laputopu.., calculator ikaitwa kalukuleta, website ikaitwa webusite.., haya mambo ya dadavuzi, luninga, tovuti, (na cash mashine sijui wala sikumbuki inaitwa nini..?)

Sasa.., Je inamaanisha desktop itaitwa Dadavuzi Dawati, Dadavuzi Meza au nini ?, Jamani waache lugha ikue kutokana na watuamiji mitaani, yaani maneno wanayotumia ndio hayo yatumike

:doh: Utafikiria mtu unajifunza lugha yako, ukubwani
 
Hivi kwanini hawa jamaa wanapenda kujifanya wenyewe ndio wanakuza hii lugha yetu peke yao.., hivi kuna shida gani laptop ikiitwa laputopu.., calculator ikaitwa kalukuleta, website ikaitwa webusite.., haya mambo ya dadavuzi, luninga, tovuti, (na cash mashine sijui wala sikumbuki inaitwa nini..?)

Sasa.., Je inamaanisha desktop itaitwa Dadavuzi Dawati, Dadavuzi Meza au nini ?, Jamani waache lugha ikue kutokana na watuamiji mitaani, yaani maneno wanayotumia ndio hayo yatumike

:doh: Utafikiria mtu unajifunza lugha yako, ukubwani
Sun wu pliiiiiz spare me sm pumziii uwiii wanchekeshaa bana ila kiswahili wazimu sasa dadavuz manake nini
 
dadavuzi mpakato...hah hahaha ahh nimeskia TBC asbh ehh nkashangaa
awa bakita jaman wangekuwa wanasanifisha aya maneno uku wakiangalia uhalisia wa maneno..ufanano wa maneno na utumikaji wa maneno kulinganisha na mila na desturi zetu...sasa jaman eti DADAVUZI...ahh asi aibu jaman..ebu assume unamwambia mama yako mama naomba dadavuzi yako....mhh aijakaa vyema...uyu aliyetunga ili neno HANA MAADILI...ni muhuni kwa mbaaaaaali...aiwezekani from maneno yoteeeeeeeeeee iwe dadavuzi mpakato....NENO ILI MI HALIJANIBARIKI:rolleyez:

rose,hapo ktk kumuomba mtu kama ni dada yako unafupisha,usiseme dada naomba dadavuzi yako!unasema "dada naomba vuzi yako"
 
Kweli hili ni tatizo maana najihisi mpaka sasa sio mswahili kwa sababu misamiati mingi inanishinda kuielewa, mfano neno ABORTION kwa kiswahili linaitwaje sijui, na laptop kuitwa dadavuzi mpakato du hii ni kali.
 
Tatizo wataalamu wetu ni masharobaro, wamekosa maneno kabisa????? why why kwanini???????? hawachelewi kuja na chombo kingine majina yaleyale "KUNDUZI, KUMAZI nk"
 
dadavuzi mpakato...hah hahaha ahh nimeskia TBC asbh ehh nkashangaa
awa bakita jaman wangekuwa wanasanifisha aya maneno uku wakiangalia uhalisia wa maneno..ufanano wa maneno na utumikaji wa maneno kulinganisha na mila na desturi zetu...sasa jaman eti DADAVUZI...ahh asi aibu jaman..ebu assume unamwambia mama yako mama naomba dadavuzi yako....mhh aijakaa vyema...uyu aliyetunga ili neno HANA MAADILI...ni muhuni kwa mbaaaaaali...aiwezekani from maneno yoteeeeeeeeeee iwe dadavuzi mpakato....NENO ILI MI HALIJANIBARIKI:rolleyez:

Nimepata matatizo makubwa sana kusoma uzi huu wa Rose1980. Huyu jamani anastahili kurudishwa darasani afundishwe fonimu (Irabu na Konsonanti) kisha afundishwe silabi (pigo moja na matashi). Hebu tazama maneno yaliyokolezwa rangi kama alivyoyawasilishwa ndugu yetu. Kusema ukweli yanakera kuyasoma. Na kibaya zaidi ni kwamba kundi la watu waandikao kwa mtindo huo limeongezeka sana kwa sasa kiasi kwamba lugha yetu inaharibiwa vivi hivi! Tujirekebishe jamani!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom