kwa maoni yangu mimi ili kiswahili kiweze kujitegemea basi lazima kwanza zitafutwe sarufi za kiswahili kama ilivyowezekana kukitoa kiswahili kwenye serufi za kiarabu na kuzileta hapa tulipo sasa, likiwezekana hilo basi tutaweza kupunguza kuwa wategemezi wa lugha zingine na wala sio kiarabu pekee kichomimeza hii lugha yetu