kavulata
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 12,347
- 12,682
Wastaafu wanailalamikia kikokotoo Cha mafao yao ya kusataafu wakituhumu kikokotoo kinawapa hela ndogo ya mkupuo. Ukweli kikokotoo Kiko sahihi ila shida yetu kubwa ni mishahara midogo sana inayozalisha makato ya mafao ya hifadhi ya jamii.
Mishahara yetu ni midogo sana kuliko ya nchi nyingi za dunia na Afrika. Tanzania hakuna mishahara Bali tunalipana posho TU.
Kila kitu siasa, kila kitu woga wa kudai maslahi yenu kwa kuogopa siasa.
Kima Cha chini kilipaswa kuwa TZS 3,000,000 kutokana na kupanda kwa dola na maisha. Kule Marekani malipo ya mfanyakazi wa chini ni USD 10 kila saa ya kufanya kazi. Mishahara Mikubwa itazaa makato makubwa ya kwenye mfuko wa hifadhi, hivyo wakati wa kusataafu kama utapewa 33% ya kiasi kilichoko kingekuwa kikubwa sana.
Daini mishahara Mikubwa sio kikokotoo.
Mishahara yetu ni midogo sana kuliko ya nchi nyingi za dunia na Afrika. Tanzania hakuna mishahara Bali tunalipana posho TU.
Kila kitu siasa, kila kitu woga wa kudai maslahi yenu kwa kuogopa siasa.
Kima Cha chini kilipaswa kuwa TZS 3,000,000 kutokana na kupanda kwa dola na maisha. Kule Marekani malipo ya mfanyakazi wa chini ni USD 10 kila saa ya kufanya kazi. Mishahara Mikubwa itazaa makato makubwa ya kwenye mfuko wa hifadhi, hivyo wakati wa kusataafu kama utapewa 33% ya kiasi kilichoko kingekuwa kikubwa sana.
Daini mishahara Mikubwa sio kikokotoo.