kwahiyo mzee wa kaya aliwahadaa tuu?duu huyu jamaa anazidi jiwekea mazingira magumu yakutofika 2015,sijui kashachoka masiki ya mungu.
Sasa hawa wazee inabidi wasaidiwe na nguvu ya umma maana mahakama za magamba zishashindwa...
kwahiyo mzee wa kaya aliwahadaa tuu?duu huyu jamaa anazidi jiwekea mazingira magumu yakutofika 2015,sijui kashachoka masiki ya mungu.
Sasa hawa wazee inabidi wasaidiwe na nguvu ya umma maana mahakama za magamba zishashindwa...
</p>Mhm, labda? Halafu inakuwa vipi mtu unahadaa watu wa umri wa baba yako, kama si kujitafutia laana ni nini?
cha kusikitisha ni kuwa na wao tumaini lao lipo kwa mcwerreh, niliwasikia wakiulizana 'hivi rais ameshindwa kutoa tamko?'