Wassira: Warioba alinikimbiza CCM mwaka 1995

unavyoongea tuu inaoneka na mtu wa hovyo sana hata huo uswazi.Wewe hata vitu vimekuzidi kwa kila kitu unaita dogo kirahisi tuu...ndio maaana siku zote waswahili hujikuta ktk mechi wanapwaya mnaishia kusema ni hujuma au mechi imekataaa..

kama ulivyipwaya mwaka 2005.2010 na mtakavyo pwaya mwaka huu.

ulivyopwaya kwa mgimwa na serkali za mitaa

kama ulivyo pwaya hadi mkajiunga na nccr na tlp mkaendelea kupwaya

kama mlivyopwaya siku mlipotoka nje na baadae rasimu ya katiba ikapatikana na mtapwaya katiba itapita

kama ulivyo pwaya ukagawa chama na kuzaliwa act ambao sasa ndio mshindani wa ccm.

kama mbowe alivyopwaya shule slaa akapwaya kuwa padri

kama mbowe alivyipwaya biashara na slaa vilevile

kama mlivyipwaya mkatelekeza familia
 
ni kwamba hujui kwamba ulikuwa unajenga hoja ya kijinga juu ya hoja..as if sijasoma vizuri kabla ya kuchangia,sasa ningekusaidiaje..unasema nimekuvaa...haha haa...nikikuvaa kweli hutapenda vuka...mimi nilisema kitu nakijua..ila wewe hukutaka elewa,huwa mimi sipendi ongea kitu too direct my assumptions mchangiaji anayelengwa atakuwa na pre informationa na reasoning before kurespond.Kuanza leweshana ndipo kunaibua mijadala mingi zaidi..wakati wapuuzi wengi hata wapo too shallow au wana concentration kidogo ktk issues.

Haya tumekusoma, una jingine?
 
kama ulivyipwaya mwaka 2005.2010 na mtakavyo pwaya mwaka huu. ulivyopwaya kwa mgimwa na serkali za mitaa kama ulivyo pwaya hadi mkajiunga na nccr na tlp mkaendelea kupwaya kama mlivyopwaya siku mlipotoka nje na baadae rasimu ya katiba ikapatikana na mtapwaya katiba itapita kama ulivyo pwaya ukagawa chama na kuzaliwa act ambao sasa ndio mshindani wa ccm. kama mbowe alivyopwaya shule slaa akapwaya kuwa padri kama mbowe alivyipwaya biashara na slaa vilevile kama mlivyipwaya mkatelekeza familia
hizo ni hadithi zinazowafaa na kuwafurahisha nyie mnaosoma hadith za alfa ulela ula,kusoma vijarida vya shigongo, na akina pwagu na pwaguzi...na nyingine ambazo zinahitaji huruma kuendelea zisikilza hta km upo ktk chombo ch ausafiri huwezi shuka.
 
Sasa makonde (Tyson) na Ikulu wapi na wapi? Awaachie tu wale "mafisadi" wengine wapambane ndani ya CCM.
 
ni kwamba hujui kwamba ulikuwa unajenga hoja ya kijinga juu ya hoja..as if sijasoma vizuri kabla ya kuchangia,sasa ningekusaidiaje..unasema nimekuvaa...haha haa...nikikuvaa kweli hutapenda vuka...mimi nilisema kitu nakijua..ila wewe hukutaka elewa,huwa mimi sipendi ongea kitu too direct my assumptions mchangiaji anayelengwa atakuwa na pre informationa na reasoning before kurespond.Kuanza leweshana ndipo kunaibua mijadala mingi zaidi..wakati wapuuzi wengi hata wapo too shallow au wana concentration kidogo ktk issues.
Niko umecopy wapi na ku paste?!.
Pasco
 
Oooh, leo nimejuwa kwanini anaitwa Tyson.
Huyo Yasin Sadik hajamshitaki Wassira? au waandishi wa habari Tanzania wakishapewa kibahasha basi hata wakilishwa mangumi kwao ni halwa tu.
Yasin alimshitaki na kesi iliunguruma kwa muda mrefu ila sijui iliishaje!. Zile bahasha ni bahasha za uwezeshaji, waandishi wote duniani lazima wawezeshwe ili waweze!. Hata waandishi wanaosafiri na Obama kwenye Airforce One, nao pia huwezeshwa!.

Wewe unaonekana ni type ya wale ambao kwa vile mke ameolewa kwa kulipiwa mahari, hata akitandikwa makofi kwa kuzidisha tuu chumvi kwenye mboga!.

Pasco.
 
umekosea nimetype vibaya....thank you..natumia keyboard ya kidenish..na software inayotoa baadhi ya vitu km paragraph na vitu vingine.
Mkuu Nicholas, no nilikuwa namaanisha contents, hili bandiko la FaizaFoxy, lilihitaji watu wenye level fulani ya upeo wa uelewa kulichangia, ndio maana nimeshangaa wewe unachangia humu kwa upeo upi wakati level yako humu inaeleweka?!.


Pasco
 

Ma Mdogo FaizaFoxy, asante kwa uzi huu, kuelekea October, this is a man to watch very seriously!, anatishia amani ya yule 'jamaa yangu' kwa sababu huyu jamaa yuko very serious, hana makundi, yuko very genuine ila pia kuna kitu very special kumhusu Wasira, the man is down to earth. Mara yakwanza mimi kukutana naye face to face nilikuwa India, alikuja kwenye ziara fulani, akaja nilipo kuja kunitembelea, ni mtu mwenye upendo sana na asiye jisikia!.

Thanks for this.

Pasco

Pasco nimeanza kumsikia Wasira nikiwa primary enzi za Nyerere kama sikosei pamoja na ndugu yake aliyekuwa meneja mamlaka ya pamba,nadhani ni wakati mzuri wa kuwapisha wengine,karibu wanasiasa wakongwe wote sampuli ya Wasira wamesha staafu au wametangulia mbele ya haki,sidhaani kama ana jipya ni muda wa kuwapisha wengine na hata huoubunge wa Bunda ni vizuri angepima apumzike,ni lini hawa wazee watapumzika kila siku wanawaza vyeo na kutawala tu,uongozi una biashara gani zaidi.Mzee malecela kuna wakati alisema hatagombea tena ubunge wa Mtera watu tukasema naam huo ni uamuzi wa busara kwani naye sasa ni wakati wa kupumzika,lakini baadaye akageuka tena akasema watu wa Mtera wamemuomba agombee tena na maneno kibao ,kama ya ndugu yetu anayesema hawezi kuzuia mafuriko kwa mkono,kilichompata Mzee Malecela ni aibu ya kubwaga na Kibajaj ,ni aibu ilioje.Nadhani taifa hili kwa sasa halihitaji tu watu ''down to earth'' hapana tunataka watu wasiofanya kazi kwa mazoea ,Mzee Wasira ameshindwa kuongoza wizara ya kilimo utakuwa uraisi,tukumbuke akiwa waziri wa kilimo wakulima wa pamba kanda ya ziwa walitapeliwa kwa kupelekewa mbegu feki chini yake ,wale wakulima walipata hasara na wengine kufilisiwa na hadi leo hakuna jibu la maana kutoka kwahuyo Wassira,aheri ya Warioba kuliko Wassira.
 
Gwanco unamwonea Mzee Warioba. Jaji Kahwa Lugakingira alikuwa ni jaji wa kipekee. Sina kumbukumbu ya kesi aliyoamua kisha ikatenguliwa na Mahakama ya juu. Kumbuka hata kesi ya Mtikila la mgombea binafsi alikuwa ni Jaji Lugakingira. Hadi leo msumari wa hukumu yake uko pale pale. Alikuwa Jaji makini sana.
Watu wanaongea bila kuujua ukweli. Bw Wasira anaongea kisiasa, lakini pia anataka kutuaminisha kuwa mahakama zetu (na hasa mahakama kuu) zinatoa hukumu za kulindana? Hii ni kauli chonganishi na tete kwa mtu anayejinasibu kutaka kugombea urais na mbaya zaidi akiwa kiongozi wa juu ndani ya mhimili mmoja wa Dola!
 
Yasin alimshitaki na kesi iliunguruma kwa muda mrefu ila sijui iliishaje!. Zile bahasha ni bahasha za uwezeshaji, waandishi wote duniani lazima wawezeshwe ili waweze!. Hata waandishi wanaosafiri na Obama kwenye Airforce One, nao pia huwezeshwa!.

Wewe unaonekana ni type ya wale ambao kwa vile mke ameolewa kwa kulipiwa mahari, hata akitandikwa makofi kwa kuzidisha tuu chumvi kwenye mboga!.

Pasco.

Kwetu tunapigwa kwa khanga na tunapigana kwa mito.
 
Manyerere Jackton anasema:




Tumuamini nani?
Mimi nilikuwapo. Nilipelekwa na mwajiri wangu Habari Corporation mahsusi kwa ajili ya kuripoti kesi hiyo iliyokuwa na mvuto wa aina yake. Kesi hiyo ni sehemu ya kazi zangu ninazozikumbuka sana katika maisha yangu ya kitaaluma. Niliishi Mkendo Guest House kwa miezi miwili na nusu. Chakula nilikula Mkombozi Hotel. Notebook zote ninazo hadi leo.
 
Kamanda Comredi kumbe Wasira ubabe alianza zamani!, thank God, wewe ulikuwa Gado, mwenzetu Yasin Sadik hakuwa 'mzima', pale Maelezo makonde yalimshukia, nadhani ndio kisa cha Wasira kuitwa tyson!. Kisa cha kumpiga mwandishi, kisa ni matumizi ya neno 'swahiba' yeye akalitafsiri ni 'shoga!' sikumbuki hata hiyo kesi ya kumpiga mwandishi iliishaje!.

Pasco.



Siku Wasira anamchapa Sadik pale Maelezo, nilikuwapo. Tulichoshuhudia ni Wasira akiwa ameshamlamba vibao. Mara moja akaenda nje na kuendelea na safari yake. Wakati wa kesi Wasira alimuomba Sadik wayamalize nje ya Mahakama, lakini kuna taarifa kuwa Sadik aligoma akitaka Mahakama imalize kazi. Siku ya hukumu, Wasira akashinda!! Sidhani kama Sadik alikuwa na hamu ya kukata rufaa.
 
Ukiacha mambo mengine mengine, Wasira ni mmoja wa watu wenye akili na weledi wa hali ya juu sana. Ana uwezo wa kujenga au kupangua hoja kwa kiwango cha juu. Nadhani ndio maana JK kamng'ang'ania kipindi chote cha miaka 10 licha ya umri wake. Akili yake inakata kama wembe. Wakati wa sekeseke la minofu ya samaki iliyomng'oa Profesa Mbilinyi, Wasira alikuwa moto wa kuotea mbali. Alilichangamsha Bunge kwa hoja murua. Sijui wakirejea CCM wanafanywa nini hadi kupoteza weledi wao.
Angalizo: Maelezo haya hayana uhusiano wowote na nia yake ya kutaka awe Amiri Jeshi Mkuu wa Taifa letu.
 
hizo ni hadithi zinazowafaa na kuwafurahisha nyie mnaosoma hadith za alfa ulela ula,kusoma vijarida vya shigongo, na akina pwagu na pwaguzi...na nyingine ambazo zinahitaji huruma kuendelea zisikilza hta km upo ktk chombo ch ausafiri huwezi shuka.

kumbe bado unahitaji dozi
 
Back
Top Bottom