eliesikia
JF-Expert Member
- Oct 29, 2010
- 787
- 755
Wassira alitiwa hatiani na mahakama 1997 kwa kutoa rushwa huko Bunda baada ya kushitakiwa na Jaji Warioba. Then, Kutokana na alikuwa mpinzani na bado alikuwa bora katika mambo ya rushwa basi CCM kwa kupitia kauli mbiu yao dhidi ya kombatia rushwa imefanikiwa vilivyo kumpandisha cheo Wassira katika nyanja za kisiasa.
Sasa ni chombo adimu cha rushwa huko Arumeru. Mtoa rushwa ni muongo, mnafiki, mzandiki wa kweli kabisa. Sijui kama mheshimiwa anazo hizo sifa.
CCM hoyeeee! Rushwa juuu juu zaidi
Sasa ni chombo adimu cha rushwa huko Arumeru. Mtoa rushwa ni muongo, mnafiki, mzandiki wa kweli kabisa. Sijui kama mheshimiwa anazo hizo sifa.
CCM hoyeeee! Rushwa juuu juu zaidi