Wadiz
JF-Expert Member
- Nov 10, 2022
- 5,470
- 11,197
Hello JF,
Hivi Wassira ni mwehu kiasi hicho? Kuna mtu alimlazimisha Rais Hassan kumtuma Mbarawa kwa maandishi? Timu ya wabunge kwenda Dubai ilijipeleka? Wasanii walijipeleka, bendera ya Tanzania ilijipandisha kule Dubai.
Wassira awe makini sana uvuvuzela wake hautawasaidia chochote ifahamike Tanganyika yetu itarudishwa 2025, Rais Hassan hata afanyaje yeye ni Rais wa mpito wassira atake asitake ndio hivyo.
Huwezi kukaa ikulu kibahati bahati halafu uharibu mipango ya wanaostahili hio haipo malizieni mpito wenu muondoke.
Hii agenda ya 2025 kivyovyote vile hamtashinda kamwe ya Magufuli kuokota ember chini ya mnazi hayatajirudia.
Marais wa kuingia ikulu kimazabe mwisho 2025.
CCM chama lao na kwanzia mwakani 2024 nyie wa mpito mtajamba sana. Endeleeni kunywa huo urojo. CCM chama la wenyewe na Kwa sasa wanachora ramani na mipango ardhini, angani na popote pale.
CCM haitafanya makosa tena ifahamike hivyo na itakuwa hivyo.
Wassira awe makini sana. Piganeni vita ya 2025 na upumbavu wa bandari ni ushuzi wenu wenyewe wanywa sharubati.
Ni hayo tu.
Habari kamili gazeti la mwanachi. (Taarifa ya Janeth Mushi)
Wadiz ndio mimi.
Hivi Wassira ni mwehu kiasi hicho? Kuna mtu alimlazimisha Rais Hassan kumtuma Mbarawa kwa maandishi? Timu ya wabunge kwenda Dubai ilijipeleka? Wasanii walijipeleka, bendera ya Tanzania ilijipandisha kule Dubai.
Wassira awe makini sana uvuvuzela wake hautawasaidia chochote ifahamike Tanganyika yetu itarudishwa 2025, Rais Hassan hata afanyaje yeye ni Rais wa mpito wassira atake asitake ndio hivyo.
Huwezi kukaa ikulu kibahati bahati halafu uharibu mipango ya wanaostahili hio haipo malizieni mpito wenu muondoke.
Hii agenda ya 2025 kivyovyote vile hamtashinda kamwe ya Magufuli kuokota ember chini ya mnazi hayatajirudia.
Marais wa kuingia ikulu kimazabe mwisho 2025.
CCM chama lao na kwanzia mwakani 2024 nyie wa mpito mtajamba sana. Endeleeni kunywa huo urojo. CCM chama la wenyewe na Kwa sasa wanachora ramani na mipango ardhini, angani na popote pale.
CCM haitafanya makosa tena ifahamike hivyo na itakuwa hivyo.
Wassira awe makini sana. Piganeni vita ya 2025 na upumbavu wa bandari ni ushuzi wenu wenyewe wanywa sharubati.
Ni hayo tu.
Habari kamili gazeti la mwanachi. (Taarifa ya Janeth Mushi)
Wadiz ndio mimi.