bornagain
JF-Expert Member
- Jan 25, 2012
- 3,383
- 1,354
Mimi kuna kitu hata hakiingii akilini, unakuta eti mtuhumiwa anapelekwa Kisutu mahakamani kusomewa mashtaka, mara unaskia eti kesi yake imeahirishwa kwa kuwa ni ya mauaji eti mahakama ya Kisutu haina uwezo wa kusikiliza kesi za namna hiyo.Sasa swali langu ni kwamba, kama wanajua mahakama ya Kisutu haiwezi kusikiliza kesi ya namna hiyo kwa nini wanampeleka mtuhumiwa mahakamani?