raisi jk amesema kwamba wale wote wasiohesabiwa katika siku 7 za mwanzo wataongezewa siku saba nyingine ila wanatakiwa waende kwa wenyekiti wao wa serikali za mitaa.
Wadau mnaionaje hiyo?
Source hotuba ya jk.
Sasa wale jamaa wa Iringa wanataka kuzuia mikutano ya CDM kwa sababu gani?Raisi JK amesema kwamba wale wote wasiohesabiwa katika siku 7 za mwanzo wataongezewa siku saba nyingine ila wanatakiwa waende kwa wenyekiti wao wa serikali za mitaa.
Wadau mnaionaje hiyo?
Source hotuba ya JK.
hii ndo tanzania.....
Kusajili simu ....waliongeza muda
kuweka details bank.....wameongeza muda
vitambulisho vya taifa......waliongeza muda.
Sensa......imeongezwa muda
Kila jambo lazima liongezwe muda...
Natumaini uraisi hautoongezwa muda loh....