Wasifu wa Masha: Maswali na Majibu


4. Asingkeuwa nao kama ninavyomfahamu asingeacha kazi World Bank na kurudi Bongo kufanya kazi kwenye lawfirm ya Mahalu na Warioba, TOL na baadaye kwua mwanasheria wa binafsi...

Just a little fact checking there:

Profile ya Masha katika documents zinazotolewa na Bunge zinasema hivi:

EMPLOYMENT HISTORY


1991 - 1995 International Law Chambers Legal Officer

1995 - 1997 Maajar, Rwechungura Law Office Legal Officer

1997 - 2000 Tanzania Oxygen Limited Company

1997 – 2006 IMMMA Advocates

2006 - 2006 Ministry of Energy and Minerals

2006 to date Ministry of Home Affairs Deputy

Source: Bonyeza

Sasa FMES, tusaidie, Waziri Masha "kaonyesha uzalendo kwa kuacha kazi World Bank na kurudi nyumbani" lini ? World Bank ya wapi hiyo ??? Ni yeye "Lau" aliyekwambia hiyo habari ?
 
Nasikitika hii mada imegeuzwa kuwa ni nani anamhafamu nani na kwa ukaribu gani. Honestly, who cares?? Kwanini tusijadili mada yenyewe, je Masha anahusika au ahusiki katika tuhuma alizotoa Mengi? Je, Masha amevuka mstari wa uadilifu kwa kuchukua chuki binafsi na kutaka kummaliza Mengi? Kama watu hawana undani wa taarifa, kwa heshima naomba muache kuchukua nafasi binafsi na kumtetea Mengi au Masha. Hivi ndivyo JF inashuka hadhi!

Kwa heshima na taadhima, wasalaam
 
1.

- Haya maneno sio mara yangu ya kwanza kuyasema hapa, kuna wakati nime-debate sana na Fundi Mchundo, nilisema exactly nilivyosema leo kua Lau aliacha kazi World Bank na kurudi nyumbani, lakini kwa sababu ni lazima tu ushinde kwa any means necessary, unajaribu kuigeuza geuza ishu wakati iko very clear na leo sio mara yangu ya kwanza kusema kua wakati anarudi nyumbani, Lau alikuwa tayari ana ajira World Bank, kwa hiyo hujabadili wala kuongeza anything ila unapoteza muda wako na wa wananchi hapa bure kwa kujaribu kunitega na kunizunguka huku ukijua wazi kuwa una -deal na a pro wa this game. Nafikiri kati yangu na wewe kila mwananchi hapa ana akili saafi ya kuona wazi nani ni a funny guy!

2.

- Naomba nirudie tena kwamba mimi binafsi ndiye niliyemuendesha na kumpeleka kwenye mtihani, Lau alikua ndio kwanza amemaliza Georgetown, akawa anafanya kazi Playland, akiwa anasubiri green card yake ili akafanye kazi World Bank akaamua kufanya hiyo Bar, akashinda na kuipata, baba yake akaamua kurudi bongo, akaipata green card yake akabadili mawazo na kurudi nyumbani, sasa sielewi exactly hasa unachopotezea muda na maneno mengi yasiyo na uhakika wala ukweli, halafu sikutegemea kwua kuna siku utarudia tena haya maneno yako kama ya Dr. Masau ya kudai unajua sana US kuliko wengine wote, drop it bro maana huna ukweli mimi ninao, na hizo CV unazopigia kelele nazo hazina yote aliyoyafanya kijana waziri Lau, maana maefanya mengi kikazi kuliko hiyo CV yako!.

3.

- Naomba nirudie tena kwamba baba yake Lau alikuwa na matatizo mengi sana kisiasa na watawala wa wakati huo, kwanza hata kurudi kusoma bongo haikuwa rahisi, na mengine mengi ambayo sio sawa kuyaweka hapa kuhusu utata wa baba yake na siasa za watawala wa enzi hizo, infact ndio maana hata baba yake ambaye aliwahi katibu mwenezi wa TANU taifa, alikuwa UN badala ya bongo,

kwa hiyo hata huku nako huna hoja wala ukweli just drop it and quit maana unazidi kuaibika bure tu na wewe ndiye bingwa wa analytic na critical thinking hapa JF ni heshima kubwa sana mkuu kuwa nayo na kujiingiza na haya malumbano yasiyo na faida hata kidogo kwa wananchi taifa kwa ujumla, ni waste of time!

Mzee unaonekana una data za kutosha kuhusu huyu jamaa. Lakini pengine tatizo ni presentation tu; yaani ungefuta hivyo vijembe unavyo vichomekea wangekuwa wanakuelewa kirahisi mno.

Halafu labda tatazi dogo, ambalo pengine si kosa, ni kwamba pengine waheshimiwa wanataka ushahidi zaidi kuhusu maneno yako. Lakini naona hapa ni kama unataka wakuamini tu maneno yako. Sasa sidhani kama waheshimiwa wana wasiwasi kwamba wewe ni mtu safi, na huwezi kutudanganya. Kwa hiyo pengine wanaweza kuamini unachoongea. Lakini ungetoa hata kaproof kadogo kangewasaidia wao kuamini zaidi, na wakitoka hapa wanaweza kuutetea huo ukweli kwa mtu mwingine. La sivyo watapata shida kum-convince mtu mwingine, kwa sababu kitu pekee watakachoweza kusema kuutetea ukweli huo ni "Field Marshall ES ndiye katuhakikishia". Sasa hiyo itawapa wakati mgumu kama inabidi kum-convince mtu huko mtaani ambaye hakufahamu mkuu.

Kwa mfano ukiwapoint kwenye ki-tovuti kinacho imply kwamba jamaa alikuwa WB wakati fulani, itakuwa bonge ya boost. Au copy fulani ya CV yake. Any third party source would do. Au kwa sababu jamaa ni mshkaji, anaweza kukupa copy za vijikaratasi vinavyo mlinki yeye na WB wakati huo. Photocopy ya ktambulisho (ambacho sasa hivi kitakuwa kime expire) ndio kitawaziba kabisa mdomo hawa waheshimiwa.

Mzee kama hiyo itashindikana, itabidi uwe mpole tu. Waombe wakuamini maneno yako, ila itakuwa ngumu kuyafanya yachukuliwe kama ndio ukweli kwasababu ya ugumu wa kuthibitisha kwa hakika.

Kwa upande wangu mimi hata kama mtu anafanya kazi kwa mungu, hiyo haina umuhimu sana hasa kwa maswala ya uadilifu ambayo ndiyo yanakereketa humu. Ila tu napenda statement yeyote anayoitoa mtu iwe inaweza kutetewa kwa hoja.

Natanguliza heshima.
 
EDUCATION
School Name/Location Course/Degree/Award Start Date End Date Level
Georgetown University Law Centre LL.M 1992 1993 MASTERS DEGREE
University of Dar es Salaam LL.B (Hons) 1987 1991 GRADUATE
New Rochelle Academy High School Diploma 1981 1986 HIGH SCHOOL
New Rochelle Academy Primary Education 1976 1981 PRIMARY

--------------------------------------------------------------------------------
CERTIFICATIONS
Certification Name or Type Certification No. Issued Expires
No items on list

--------------------------------------------------------------------------------
EMPLOYMENT HISTORY
Company Name Position From Date To Date
Ministry of Home Affairs Minister 2/13/2008
Tanzania Oxygen Limited Company Secretary 1997 2000
Tanzania Oxygen Limited Managing Director 1997 2000
IMMMA Advocates Partner 1997 Todate
Maajar, Rwechungura Law Office Legal Officer 1995 1997
International Law Chambers Legal Officer 1991 1995
Ministry of Home Affairs Deputy Minister 10/17/2006 2/8/2008
Ministry of Energy and Minerals Deputy Minister 1/1/2006 10/16/2006

--------------------------------------------------------------------------------
POLITICAL EXPERIENCE
Ministry/Political Party/Location Position From To
Chama Cha Mapinduzi - CCM Member of UVCCM National Council 2003 2003
Chama Cha Mapinduzi - CCM Secretary General(UVCCM) 2003 2003
Chama Cha Mapinduzi - CCM Youth Commander(UVCCM-Kawe) 2002 2005
Chama Cha Mapinduzi - CCM Party Warden 2002 2002

1. hii kitu nimeipata hapa
BUNGE::

2. Sijaona kama kaweka WB.
 
Nashindwa kuelewa kama ni green card inahitajika kabla ya kufanya kazi hapa USA(Legally except with work permit/visa or otherwise ilegally"undertable") Ama ni kuwa lazima uwe na green card kabla ya kuajiriwa na World Bank? Kwasababu inamaanisha hapa kuwa you must be a US citizen or at least a permanent resident before you could get hired at WB? And this is excluding other citizens of the world?
Kwa wenye ufafanuzi tafadhali....

Ukiwa foreign born (Not an American Citizen) unahitaji G-4 visa kufanya kazi WB. The G-4 visa is non immigrant visa which allows foreign officers or employees of international organizations of any rank to enter into the U.S. to engage in business activities and not for personal business and pleasure. The staff and immediate family members of principal G-4 visa holders also qualify for G-4 visa.
 
--------------------------------------------------------------------------------
EMPLOYMENT HISTORY
Ministry of Home Affairs Deputy Minister 10/17/2006 2/8/2008
Ministry of Energy and Minerals Deputy Minister 1/1/2006 10/16/2006

--------------------------------------------------------------------------------
POLITICAL EXPERIENCE
Ministry/Political Party/Location Position From To
Chama Cha Mapinduzi - CCM Member of UVCCM National Council 2003 2003
Chama Cha Mapinduzi - CCM Secretary General(UVCCM) 2003 2003
Chama Cha Mapinduzi - CCM Youth Commander(UVCCM-Kawe) 2002 2005
Chama Cha Mapinduzi - CCM Party Warden 2002 2002

Masha lacks political experience! Labda ndio maana anavurundavurunda maskini.
 
New Rochelle Academy High School Diploma 1981 1986 HIGH SCHOOL
New Rochelle Academy Primary Education 1976 1981 PRIMARY

Kwani alikuwa na status gani wakati akihudhuria shule hizo hapo juu?
 
- Sio kweli, alipokuwa anarudi alikua akifanya kazi kama manager wa kitengo Playland, na pia alipata offer ya kazi World Bank, lakini akaamua kurudi bongo, hayo yako mkuu sio ya kweli unless kuna something sielewi, ila all the time nilikuwa naye mpaka siku ya mwisho nikampeleka Airport.

Thanxs!
Kuwa naye ndio nini, tehe tehe...eti nilimpeleka airport, so what? Unachekesha kweli wewe.
Sasa kwa taarifa yako, haya maneno yametoka kwake Masha mwenyewe. Obviously uhusiano wenu(if any) ulikuwa ndio huo wa wewe kumuendesha kumpeleka kwenye mitihani, playground, na airport...lakini vitu kama hivi alikuwa hakuelezi. Sasa ndio nakupa, Masha alirudi Tanzania kwasababu hakupata kazi wala prospects katika field yake! Habari ndo hiyo!
 
Jamani, mods naomba topic hii nzuri iondolewe comments zote ambazo azihusu suala la msingi la Mengi VS Masha.

Mambo ya alisoma wapi, alifanya nini before hayatuhusu wala hayana uzito kwa sababu wakati huo alikuwa alipwi na Taxpayers wa TZ.

So issue istick kwenye Minister Masha VS Business tycoon Mengi.

Topic nzuri, lakini wenzetu wa Bongo wakiamka watakuta mwelekeo umeharibika na itabidi wasome pages nyingi ambazo ni ubishani wa mambo yasiyo na msingi na topic.

Kuhani na Mzee ES wote nawaheshimu na nadhani haitawaudhi kama hizo comments zikiondolewa pamoja na hizi za kwangu ili kufanya topic iwe na mwelekeo mzuri. Kumbuka tunategemea sakata hili kuiva jumanne kama habari zinazogaa mtaani ni za kweli. Ni hayo tu wakuu
 
JF kwa kweli inafurahisha sana. It is sometimes can be a marvellous antidote to the pressures of work and life!
 
Jamani, mods naomba topic hii nzuri iondolewe comments zote ambazo azihusu suala la msingi la Mengi VS Masha.

Mambo ya alisoma wapi, alifanya nini before hayatuhusu wala hayana uzito kwa sababu wakati huo alikuwa alipwi na Taxpayers wa TZ.

So issue istick kwenye Minister Masha VS Business tycoon Mengi.

Topic nzuri, lakini wenzetu wa Bongo wakiamka watakuta mwelekeo umeharibika na itabidi wasome pages nyingi ambazo ni ubishani wa mambo yasiyo na msingi na topic.

Kuhani na Mzee ES wote nawaheshimu na nadhani haitawaudhi kama hizo comments zikiondolewa pamoja na hizi za kwangu ili kufanya topic iwe na mwelekeo mzuri. Kumbuka tunategemea sakata hili kuiva jumanne kama habari zinazogaa mtaani ni za kweli. Ni hayo tu wakuu

It's neither right nor fair, let people read this discussion so that sometime somewhere something like this (Masha's) shouldn't happen again. A lesson should be learnt, Watanzania sio wajinga anymore.
 
Wale wanaopenda kuchambua utaratibu wa kufanya kazi Marekani, uhamiaji Marekani na nani anamjua vizuri kiundani, kihistoria waziri Masha, basi naomba waanzishe thread nyingi. Sikusudii kuwatusi au kuwaambia cha kufanya; ni kwamba mnatuchanganya wengine ambao tunapenda kudiscuss mambo ya kesi inayoendelea hapa na sio historia zao.
 
Imeshakuwa taabu haya turudi kwa Mengi pia,
Nasikia kuwa mali yote sio yake kawekwa tu kama kina Manji kushika mali ya wakubwa (vigogo)waliowekesha IPP..
 
Kisura,
Samahani bibie sasa hizi nihabari ni za jikoni, siye wanaume tupo barazani.. Masha kurudi TZ tayari janvi lilikwisha wekwai.. JK alijua nani anakuja baada ya kupewa info za kijana huyu na wala sio bahati mbaya kwamba kakosa kazi US..
Marekani huwezi kukosa kazi ukiwa na elimu kama yake..Hii sio Bongo kazi za kukamatana mashati, kwa mkosi gani alokuwa nao kukosa kazi Marekani - jaribu kufikiria...

Bob, habari na heshima yako mkuu. Nafurahia sana hoja zako hapa. Kuhusu huyu Masha, sidhani kama alikosa kazi Marekani. Labda hakupata kazi aliyokuwa anaitaka au ambayo inalingana au iliyo katika mstari na taaluma yake (hivi, kama haya yanayosemwa hapa ni ya kweli maana kupembua pumba na mchele katika vumbi hili ni kazi kweli kweli).

Uwezekano wa yeye kukosa hiyo kazi inayodaiwa upo. Elimu pekee haitoshi. Ni lazima uwe mtu ambaye unasaili (msailiwa) vizuri. Unaweza kabisa ukawa na elimu na kwenye karatasi sifa zako zikawa zinavutia lakini ikija kwenye usaili you are an absolute disaster. Kwa hiyo huo uwezekano ni wa kweli lakini sijui kama ndivyo ilivyokuwa kwa Masha.
 
Kisura,
Samahani bibie sasa hizi ni habari za jikoni, siye wanaume tupo barazani.. Masha kurudi TZ tayari janvi lilikwisha wekwa.. JK alijua nani anakuja baada ya kupewa info za kijana huyu na wala sio bahati mbaya kwamba kakosa kazi US..
Marekani huwezi kukosa kazi ukiwa na elimu kama yake..Hii sio Bongo kazi za kukamatana mashati, kwa mkosi gani alokuwa nao kukosa kazi Marekani - jaribu kufikiria...

Mkandara! Unamuonea Kisura. Yeye amekuwa akifafanua hoja iliyokuwa ikiletwa hapa na wengine. Unazidi kuharibu kwa kutumia neno habari za jikoni na kudai kuwa sisi wanaume tuko barazani. Unataka kutuambia kuwa kwa sababu Kisura ni mwanamke hana haki sawa na wewe mwanaume kuchangia katika hoja hii? Wakati huu wa wakina Migiro, Tibaijuka na wengine unadiriki kusema hivyo? Tafadhali muombe samahani Kisura na wanawake wote kwa kuwadhalilisha. Kumbuka hata Lawrence Summers alijifunza the hard way kuwa wakina mama wanastahili heshima kama wewe na mimi!

Marekani unaweza kukosa kazi unayotaka hata kama una elimu ipi! Kinachoangaliwa zaidi si elimu tu bali ni ulifanyia nini elimu yako baada ya kuhitimu. Umeneja wa amusement park haukuhakikishii kazi katika Benki ya Dunia.

Amandla.......
 
Imeshakuwa taabu haya turudi kwa Mengi pia,
Nasikia kuwa mali yote sio yake kawekwa tu kama kina Manji kushika mali ya wakubwa (vigogo)waliowekesha IPP..

Sasa hiki unachokisema kina tofauti gani na alichokisema Kisura? Au kwa sababu ni mwanaume hatuwezi kuyaita usemayo ni maneno ya jikoni? Angalau Kisura amesema amesikia aliyoyasema kutoka kwa Masha mwenyewe. Wewe huu udaku, alikuambia Mengi?
 
Mkandara! Unamuonea Kisura. Yeye amekuwa akifafanua hoja iliyokuwa ikiletwa hapa na wengine. Unazidi kuharibu kwa kutumia neno habari za jikoni na kudai kuwa sisi wanaume tuko barazani. Unataka kutuambia kuwa kwa sababu Kisura ni mwanamke hana haki sawa na wewe mwanaume kuchangia katika hoja hii? Wakati huu wa wakina Migiro, Tibaijuka na wengine unadiriki kusema hivyo? Tafadhali muombe samahani Kisura na wanawake wote kwa kuwadhalilisha. Kumbuka hata Lawrence Summers alijifunza the hard way kuwa wakina mama wanastahili heshima kama wewe na mimi!

Marekani unaweza kukosa kazi unayotaka hata kama una elimu ipi! Kinachoangaliwa zaidi si elimu tu bali ni ulifanyia nini elimu yako baada ya kuhitimu. Umeneja wa amusement park haukuhakikishii kazi katika Benki ya Dunia.

Amandla.......

Fundi Fundi Fundi, sasa wewe unataka kuchonganisha watu hapa. Sidhani kama Mkandara alimaanisha hivyo ulivyotafsiri wewe. Shauri yako, hawa akina dada wa hapa wakimshikia bango Mzee Mkandara na kumvua kanzu yake mimi ntakulaumu wewe kwa uchonganishi!
 

Sasa hiki unachokisema kina tofauti gani na alichokisema Kisura? Au kwa sababu ni mwanaume hatuwezi kuyaita usemayo ni maneno ya jikoni? Angalau Kisura amesema amesikia aliyoyasema kutoka kwa Masha mwenyewe. Wewe huu udaku, alikuambia Mengi?

Duuuuh!

Fundi Mchundo hapo ndipo huwa ninapokoma na wewe!

Humumunyimumunyi maneno, lakini huvuki mistari. Kweli tupu. I don't know how you do it man.

Amazing!!

(Halafu kale kamfano ka amusement park manager ambacho hukaweki hata kwenye resume ya kuomba kazi World Bank kamenichekesha mno. Kingine, kwamba ni Masha ndio ashukuru - sio sisi tumshukuru yeye - kwa nafasi aliyopewa alipoamua kurudi nyumbani. That's really true.)
 
Kisura,
Samahani bibie sasa hizi ni habari za jikoni, siye wanaume tupo barazani.. Masha kurudi TZ tayari janvi lilikwisha wekwa.. JK alijua nani anakuja baada ya kupewa info za kijana huyu na wala sio bahati mbaya kwamba kakosa kazi US..
Marekani huwezi kukosa kazi ukiwa na elimu kama yake..Hii sio Bongo kazi za kukamatana mashati, kwa mkosi gani alokuwa nao kukosa kazi Marekani - jaribu kufikiria...

EEhh,
Kwanza habari za jikoni kamueleze mkeo, au aliyekuleta duniani, si mimi, tena shika na adabu yako.

Pili, you obviously have no clue what you are talking about. Nenda kaangalie stats za graduates na rate za unemployment, better yet, people who are not working on their fields then tuje tuongee hapa.

Tatu, suala la Masha kurudi Tanzania was the best decision he made, no one is disputing that, still, the truth of his departure needs to be aired.
 
Fundi Fundi Fundi, sasa wewe unataka kuchonganisha watu hapa. Sidhani kama Mkandara alimaanisha hivyo ulivyotafsiri wewe. Shauri yako, hawa akina dada wa hapa wakimshikia bango Mzee Mkandara na kumvua kanzu yake mimi ntakulaumu wewe kwa uchonganishi!

Hapana, Mkuu. Hakuna cha uchonganishi. Hii ni public forum na maneno kama haya ( kwa mtazamo wangu) hayastahili katika dunia ya leo. Kama sikumtendea haki, atanisahihisha na nita-apologize.

BTW. Umeamua kula samaki nini? Maana michango yako ( mfano wa huo hapo juu) imetulia sana. Najua kuwa hii haimaanishi lolote kwako lakini I am impressed. For real.
 
Back
Top Bottom