Husninyo
JF-Expert Member
- Oct 24, 2010
- 23,723
- 9,189
Aisee, tangu nijiunge sijaona thread ya mdada wa JF kumzimikia mkaka, kama ipo mtu aniwekee link. Hadi sasa nina kumbukumbu ya wadada 12 wa jf walioanzishiwa na wakaka threads za namna ya kuzimikia zimikia. Huwa najiuliza ina maana wadada wa jf tunaogopa kuonesha hisia zetu hazarani?, tunajiheshimu hatuzimikii zimikii hovyo?, Tunaweza kuzizuia hisia zetu au ni kwamba wakaka wa Jf ni wakware (baadhi)?
Nawatakia ijumaa njema.
Mimi penda wewe.
Nawatakia ijumaa njema.
Mimi penda wewe.