Humble Servant
Member
- Aug 2, 2007
- 87
- 4
Mod na wana JF,
natanguliza kuomba msamaha kwa kuanzaisha thread mpya though related to EPA, nina hamu sana ya kutaka kuwafahamu zaidi ya majina watuhumiwa wa sakata hili!!!!naomba yeyote anaejua chochote juu ya hawa watuhumiwa anisaidie ni weze kuwajua watu hawa in brief
1.Jeetu Patel na ndugu zake wawili Devendra Patel na Amit Nandy
2.Bahati Mahenge,
3.Manase Mwakale,
4.Davis Kamungu,
5.Godfrey Mosha
6.Eddah Mwakale
7.Farijala Shaaban Hussein
8.Rajab Shaban Maranda
9.Arusha resident Japhet Laiyandumi Lema
10.Ketan Chohan
11.Johnson Lukaza
A:kama kuna wafanyakazi wa BOT walioshtakiwa ni kina nani na wanavyeo gani??
B:kama ni wafanya biashara wana biashara gani??
C:visomo vyao kama vitapatikana
D: connection zoa na political leaders
E:any other info that you think will help us to know what kind of peple are they!!!!
natanguliza shukrani
mwenye info
natanguliza kuomba msamaha kwa kuanzaisha thread mpya though related to EPA, nina hamu sana ya kutaka kuwafahamu zaidi ya majina watuhumiwa wa sakata hili!!!!naomba yeyote anaejua chochote juu ya hawa watuhumiwa anisaidie ni weze kuwajua watu hawa in brief
1.Jeetu Patel na ndugu zake wawili Devendra Patel na Amit Nandy
2.Bahati Mahenge,
3.Manase Mwakale,
4.Davis Kamungu,
5.Godfrey Mosha
6.Eddah Mwakale
7.Farijala Shaaban Hussein
8.Rajab Shaban Maranda
9.Arusha resident Japhet Laiyandumi Lema
10.Ketan Chohan
11.Johnson Lukaza
A:kama kuna wafanyakazi wa BOT walioshtakiwa ni kina nani na wanavyeo gani??
B:kama ni wafanya biashara wana biashara gani??
C:visomo vyao kama vitapatikana
D: connection zoa na political leaders
E:any other info that you think will help us to know what kind of peple are they!!!!
natanguliza shukrani
mwenye info