Kizimkazimkuu
JF-Expert Member
- Nov 8, 2007
- 337
- 234
Ndugu wa JF,
Kwa muda sasa rais JK amekuwa akiandamwa na shtutma j=kadhaa kuhus maamuzi anayoyafanya au kushindwa kuyafanya. Ninavyotambua, marais huwa na washauri wao na hawa huwa ni watu muhimu sana na mara nyingi kwa rais makini na msikivu wanmchnago mkubwa katika mustakabali wa nchi. JK, lazima anaowashauri wake rasmi (maana pia lazima wapo wasio rasmi); binafsi niliopata kuwasikia ni:
1. Bi Elsie Kanza- mambo ya uchumi (www.jamiiforums.com/.../116478-hongera-bi-elsie-kanza-mshauri-wa- uchumi-wa-rais-kikwete-3.html - Cached) na tz.linkedin.com/pub/elsie-kanza/22/583/360
2. Kingunge N. Mwiru - siasa
kama kuna wengine tunawafahamu tuwataje hapa na ikibidi tujue wasifu wao, je washirika wao kibiashara (kama wanajulikana), umiliki wao wa shughuli za biashara, elimu zao/uzoefu nk. In short we need to them in details. hii inaweza kutusaidia kujua kundi lingine ambalo ni muhimu lakini liko nyuma ya pazia na pengine linachangia sana katika kuturudisha nyuma .
nawasilisha....
Kwa muda sasa rais JK amekuwa akiandamwa na shtutma j=kadhaa kuhus maamuzi anayoyafanya au kushindwa kuyafanya. Ninavyotambua, marais huwa na washauri wao na hawa huwa ni watu muhimu sana na mara nyingi kwa rais makini na msikivu wanmchnago mkubwa katika mustakabali wa nchi. JK, lazima anaowashauri wake rasmi (maana pia lazima wapo wasio rasmi); binafsi niliopata kuwasikia ni:
1. Bi Elsie Kanza- mambo ya uchumi (www.jamiiforums.com/.../116478-hongera-bi-elsie-kanza-mshauri-wa- uchumi-wa-rais-kikwete-3.html - Cached) na tz.linkedin.com/pub/elsie-kanza/22/583/360
2. Kingunge N. Mwiru - siasa
kama kuna wengine tunawafahamu tuwataje hapa na ikibidi tujue wasifu wao, je washirika wao kibiashara (kama wanajulikana), umiliki wao wa shughuli za biashara, elimu zao/uzoefu nk. In short we need to them in details. hii inaweza kutusaidia kujua kundi lingine ambalo ni muhimu lakini liko nyuma ya pazia na pengine linachangia sana katika kuturudisha nyuma .
nawasilisha....