incredible terminator
JF-Expert Member
- Aug 1, 2016
- 2,229
- 3,525
Kenya mombasan ina Vijana wanaojua sana Mziki, Kiufupi wanajua kuandika, wanajua kupangilia production wanajua kupangilia melodies na vocal tatzo sijui kwanini hawavumi kama wasanii wa Nairobi Kenya ambao ndio wana majina makubwa ambayo hawayatendei haki.
Wasanii wa Nairobi kusema kweli hawajui kuimba zaidi ya kuropoka na kuruka ruka tu hawasa Swaga, wala hawana panchline hawatumii akili kubwa kuandika nyimbo zaidi ya kuchanganya kikalenjini, kiluya, kikisii, pamoja na kikikuyu kiswahili na broken English na kutafuna mirungi (moghokaa) Kwenye video zao,
Japo wapo wachache akina NYANSHISKI, BIEN wa SAUTISOUL,
WILLY PAUL, NADIA MOKAMI, Ambo kwa namna moja wanajitahidi lakini Bado hawafiki hata Robo ya Vichwa vya Mombasani tatzo hawana Majina na ukubwa unaonedana na kazi zao.
Mombasa kuna producer Anajiita TK2, PRODUVISHIZZO, Huyu mwamba kwa bongo tufanye heshima yake ni kama tukichanganya vichwa vya akina ABBA, SHEDCLOVEOR, BOB MANECK , JIMMY ,MOCOGENIUS na NAZDAAH Wote ndio wanafikia mikono ya huyu mwamba mmoja nahawa ndio mafundi wa BEAT TZ zisizokuwa na makelele na ma sample kibao ya Hip hop za kimarekani.
Mombasani Kuna vijana akina
Otile brown
Chikuzee
Masauti,
Dogo Richie,
Klech Africanaa
Fund Echo,
Karntonah,
Dadysele,
Susumila
Hawa jamaa ni moto wa kuotea mbali lakini hawajulikani labda Otile Brown kidogo yuko mainstream kiasi chake.
Ila hao wengine hawana majina makubwa,
Nakuwekea hapa Piano mbili tu za huyo ECHO alafuz zitaftie mfanano wake hapa Tz na dogo hajulikani..
Wasanii wa Nairobi kusema kweli hawajui kuimba zaidi ya kuropoka na kuruka ruka tu hawasa Swaga, wala hawana panchline hawatumii akili kubwa kuandika nyimbo zaidi ya kuchanganya kikalenjini, kiluya, kikisii, pamoja na kikikuyu kiswahili na broken English na kutafuna mirungi (moghokaa) Kwenye video zao,
Japo wapo wachache akina NYANSHISKI, BIEN wa SAUTISOUL,
WILLY PAUL, NADIA MOKAMI, Ambo kwa namna moja wanajitahidi lakini Bado hawafiki hata Robo ya Vichwa vya Mombasani tatzo hawana Majina na ukubwa unaonedana na kazi zao.
Mombasa kuna producer Anajiita TK2, PRODUVISHIZZO, Huyu mwamba kwa bongo tufanye heshima yake ni kama tukichanganya vichwa vya akina ABBA, SHEDCLOVEOR, BOB MANECK , JIMMY ,MOCOGENIUS na NAZDAAH Wote ndio wanafikia mikono ya huyu mwamba mmoja nahawa ndio mafundi wa BEAT TZ zisizokuwa na makelele na ma sample kibao ya Hip hop za kimarekani.
Mombasani Kuna vijana akina
Otile brown
Chikuzee
Masauti,
Dogo Richie,
Klech Africanaa
Fund Echo,
Karntonah,
Dadysele,
Susumila
Hawa jamaa ni moto wa kuotea mbali lakini hawajulikani labda Otile Brown kidogo yuko mainstream kiasi chake.
Ila hao wengine hawana majina makubwa,
Nakuwekea hapa Piano mbili tu za huyo ECHO alafuz zitaftie mfanano wake hapa Tz na dogo hajulikani..