matumbo
JF-Expert Member
- Jul 9, 2011
- 7,225
- 3,944
Kumekuwa na kushutumiana kunakoshika kasi kwa wasanii wa Bongofleva kuhusu ishu za ushirikina,ambapo wasanii mbalimbali wanatoa shutuma kwa wasanii wenzao kwamba wanawaloga na kuwaibia bahati zao kinyota...aya maneno yamekuwa yakiongewa chinichini muda mrefu na wasanii wenyewe lakini sasa wengi wanayaongea wazi wazi,bila kuuma maneno...
Nimeshamsikia Q-chief akilalamika kwamba T.i.d na Kassim wanamchezea kwa waganga na kuchukua nyota yake ya muziki,Nature akimshutumu Said Fella lakini sasa wasanii wengi shutma wanazipeleka kwa kundi la Tiptop linaloongozwa na meneja Babu Tale,pia kundi la Wanaume Tmk ya Fella wanazungumzwa sana juu ya hii michezo ya ushirikina kwenye muziki..
Nawashauli wasanii wa Bongofleva waachane na ishu za kutafuta mchawi,Mchawi wao wanamjua vizuri.
Pia waachane na ishu za kula unga,huo sio ujanja,mjanja hali unga,maana siku izi imekuwa fasheni kila msanii anakula unga.
Nimeshamsikia Q-chief akilalamika kwamba T.i.d na Kassim wanamchezea kwa waganga na kuchukua nyota yake ya muziki,Nature akimshutumu Said Fella lakini sasa wasanii wengi shutma wanazipeleka kwa kundi la Tiptop linaloongozwa na meneja Babu Tale,pia kundi la Wanaume Tmk ya Fella wanazungumzwa sana juu ya hii michezo ya ushirikina kwenye muziki..
Nawashauli wasanii wa Bongofleva waachane na ishu za kutafuta mchawi,Mchawi wao wanamjua vizuri.
Pia waachane na ishu za kula unga,huo sio ujanja,mjanja hali unga,maana siku izi imekuwa fasheni kila msanii anakula unga.