Mathematician
JF-Expert Member
- Nov 8, 2009
- 326
- 108
Thinkers naomba tuwe tunaupload wanaoitwa kwenye usaili, tutakuwa tumewasaidia kwa kiwango kikubwa wale wasio na uwezo wa kununua magazeti kama vile inavyokuwa msaada mkubwa kwa wanaotafuta kazi. Naamini hapa ndio mahali pake.