Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,956
- 22,148
wale mitume na manabii waliokuwa wakisubiri kwenda nje kwa kutumiab.....na huku wakirudishwa na kufanya watu kuwa kama vichaa kuwafikiria wao wamelambwa mwaka mmoja jela wakakae huko wakijiandaa upya...habari zaidi zinasema watu hao wakiwa 24 wamehkumiwa jela na wakati wakipelekwa jela walisema wanaonewa maana wana haki ya kuishi popote nchini mwao....wanatuonea bure tu....hata hivyo huku jela ni safari pia...alinukuliwa mmoja wao....polen sana kwa walioathirik tunajua kuna waliokuwa na familia nzima yaani mke na watoto ...tunawatakien maisha mema mnapoenda kuanza maisha mapya.....Msiwe na hofu ZOMBE yuko chumba peke yake LYUMBA na kweka wako LOUNGE YA JELA Msiwe na shaka na hawa ,,,zaidi msalimien babuseya na watoto wote waambien ipo siku mungu atashusha miujiza yake