Lu-ma-ga
JF-Expert Member
- Sep 21, 2010
- 4,780
- 3,227
Jaji Warioba amesema" Kutokana na hali ilivyo na hali ya kisiasa ilivyo hapa nchini, lazima uchaguzi ujao 2015 tuwe na katiba mpya la SIVYO HALI TUNAYOIONA HUKO VIJIJINI NA MAONI YANAYOTOLEWA, KATIBA MPYA INAHITAJIKA HARAKA"
source: Mwananchi ya leo uk.5
source: Mwananchi ya leo uk.5