kamajokes
Member
- Jul 17, 2011
- 12
- 3
Udhalilishaji watu huu, wamekuruhusu kutumia picha zao?[/QUOTE. kamajokes] ni dada zako au umewatuma wewe. nahisi utakuwa mwenzao kwa mambo hayo ....
Udhalilishaji watu huu, wamekuruhusu kutumia picha zao?[/QUOTE. kamajokes] ni dada zako au umewatuma wewe. nahisi utakuwa mwenzao kwa mambo hayo ....
aisee umnichekesha sana hasa ulipoandika kitu topaz!!!!halafu wote wamenyoa kwa kutumia topaz....
Udhalilishaji ni dada zako au uliwatuma wewe????? tumechoka na mnao tetea uovu eti haki.....!? kawatetee masikini wanaoteswa na sela mbov ya ccm.mafuta taa elf mbli na wasikate miti. Acha unafiki.....
Mi naona kama za kawaida hivi,au macho yangu tu?Hizi picha zinatakiwa ziwekwe kwenye jukwaa la mambo ya kikubwa, kama unataka kuweka hapa basi ufanyie censoring.
Angalia vizuri picha ya huyo dada aliyevaa sketi ya pink na hiyo post namba 2...Mi naona kama za kawaida hivi,au macho yangu tu?
Hii wazi ni photoshop ukiangalia kwa makini zaidi kwa huyo dada juu aliyevaa pinki utagundua hicho kipande (kilonyolewa na topaz?) kimeongezwa kiaina na huyu mtengenezaji bado hajakomaa katika kutumia blending tools, angalia kwa makini utaona rangi kwenye kipande iyo ni tofauti na uhalisia wa rangi ya mwili, hapo labda picha ya kwanza kushoto (huyo Tayana) nahisi ndio ina uhalisi.