Akili Unazo!
JF-Expert Member
- Feb 18, 2009
- 3,930
- 4,893
Hodi jamvini!mimi ni mkaka ninayeishi tanzania kanda ya ziwa natafuta mrembo mwenye sifa zifuatazo ambaye nayeweza kuwa naye maishani.Mcha mungu,mwenye elimu ya kawaida ,mwenye uelewa na ufahamu wa kawaida yaani siyo mbishi hata kama kitu hakijui yeye anabisha tu.awe anaweza kunielewa madhaifu yangu na kunishauri,awe msema ukweli muda wote wa maisha yetu umri awe na umri siyo issue kubwa kwa kuwa naamini atakuwa na umri wa kawaida yaani from 1977-1987.Wasifu wangu unarandana na sifa nilizoziweka hapo kwa nimtakaye.aliyetayari kwa uhusiano wa dhat kuanzia atakaposoma uzi huu anakaribishwa kwa aina zote za mawasiliano chumba cha faragha.