Mkuu kama unao nisaidieSawa
Sina mkuu,Mkuu kama unao nisaidie
Pamoja sanaSina mkuu,
Tusubiri labda walio nao watakuja.
Mkuu tuache kwanza tumalize kusafisha ufisadi wa awamu ya 5. Mambo ya nyaraka yatafwata baada ya hapo.Wakuu mwenye kujua waraka huo hapo juu unasemaje juu ya watumishi Wa umma anijulishe,au kama kuna mtu anao waraka huo auweke hapa,nimeutafuta sana pasina mafanikio,natanguliza shukurani zangu za dhati