Mimibaba
JF-Expert Member
- Jul 1, 2009
- 4,557
- 1,291
Sasa we mnyika,bla bla nyingi za nini, si ungesema unaomba msamaa kwa maneno machache tu. Cheza na Kikwete wewe, haya wana CDM, jamaa yenu anajitetea na kuomba msamaha baada ya kuropoka.
Dhaifu wewe, au umesoma kutoka kulia kwenda kushoto? Hakuna msamaha ulioombwa ni mpuuzi tu kama wenzako wengine