collezione
JF-Expert Member
- Oct 22, 2010
- 352
- 178
Niseme tu machache, ambayo yanahusiana na nchi yetu Tanzania. Awali ya yote Mimi mtanzania ninaeishi ughaibuni. Naandika hii page ikiwa ni ujumbe mzito kwa raisi wetu. Pia nataka waTZ wenzangu muusome hapa. Madhumuni makubwa, kuikomboa nchi yetu.
Raisi ni kichwa cha waTanzania mil40 na ushehe. Waliopo Tanzania na ughaibuni. Ikiwa mimi mmoja wao. Leo hii najitosa kuzingumzia sector nne. Mosi MIUNDO MBINU, mbili ELIMU, tatu USALAMA, nne UMEME na mwisho KATIBA mpya. Nitaelezea kwa maneno machache nisikuchoshe. Ingali maneno haya yanabeba ujumbe mzito.
Kabla sijaongelea hizo sector 4. Nianze na utangulizi.
Ni uwazi usiofichika, nchi yetu inakabiliwa na matatizo mengi. Maradhi, ujinga(poor education), ajira, umeme, maji, rushwa, ajali barabarani(hili linashika kasi sasa) n.k. Sitakosea nikisema Tanzania kwa sasa iko ICU. Kila kukicha umaskini unaongeza. Watu wamekata tamaa na hali inazidi kuwa ngumu.
Swali linakuja.... Je, wewe kama kichwa na muhimili wa nchi yetu unayaona haya?
Una mikakati gani kuyapunguza atleast matatizo machache niliyotaja hapo juu. Ningefurahi kusikia 2015 utatuambia elimu TZ kwa sasa ni asilimia mia. Au umeme kwa sasa ni 100% hata vijijini wanapata umeme bila shida.
Mimi naamini uongozi wako ukipunguza SIASA(politics) na RUSHWA haya yanawezekana. Siasa(politics) Tanzania imeshamili kila mahali. Siasa imefanya rushwa na ufisadi kuota mizizi.
Kwenye sector za madini, utalii kote kumejaa siasa. Hii inafanya Tanzania tuzidi kuibiwa. Madini na utalii vingeweza kuifanya Tanzania iwe ya neema nyingi. Rushwa na ufisadi unafanya tusiambulie chochote sisi wananchi wa chini.
Siasa ndio inafanya wabunge walilie kuongezewa posho, wakati madaktari wakifanyiwa mzaha.
Mimi sio muumini wa siasa. Na waTanzania walio wengi hawaamini siasa. Wanachotaka, ni kuona rasili-mali zao zinatumika kulete maendeleo..
Kuna siku uvumilivu utatoweka kuona hizo rasili-mali zinanufaisha watu wachache...
Tanzania inahitaji only strong leadership, ili ku-progress. Kama Rasili-mali tunazo. Mwaka mmoja, unatosha kubadili taswira ya nchi yetu. kama kweli kiongozi wetu una nia.
Kama nilivyoeleza awali. Matatizo yapo mengi. Si rahisi kumaliza yote kwa pamoja. Vile vile si busara kushindwa kutatua hata tatizo moja, kwa kipindi cha uongozi wako..... Kila nikirudi Tanzania sioni any changes. Cha zaidi naona matatizo yanazidi. Foleni zinazidi, umeme wa shida, n.k.
Hapa naamanisha nini??
Wewe, kama kichwa na kiongozi, you should point "matatizo". Yaweke kwenye preference yako. (Watu waliosoma management hapa watakuwa wamenielewa) Anza na tatizo moja moja. Naamimi mpaka muda wako umeisha, atleast mawili matatu utakuwa umeyakabili..... Angalizo, hii itawezekana kama kweli una nia..
Kwa hali ya sasa inavyooneka, "Raisi UMEkATA TAMAA." Unasubiri 2015 umkabidhi kijiti mwingine.
Mimi naomba uachane na "kilimo kwanza." Weka nguvu kwenye sector ya elimu, miundo mbinu, security(usalama) na umeme. . Ifikapo 2015 Uwe umepunguza matatizo ya hizo sector hata kwa 50%. Hizi sector zikisimamiwa vizuri, zitainua ajira, kilimo, utalii, biashara, uwekezaji, sector ya afya, kujiajiri, michezo, uvuvi n.k .
Waziri mkuu mstaafu wa Malaysia ameshawahi sema. "Kiongozi shupavu na jasiri, ni yule anatakae thubutu kubadilisha nchi kutoka kutegemea kilimo mpaka viwanda". Miaka 50 ya uhuru Tanzania bado tunaongelea kilimo kwanza. This is SHAME..... Tulianza na kina Malaysia, China, Thailand, Singapore, India. Hawa wako mbali sasa, sisi bado tumebakia kwenye kilimo.
Cha kushangaza Wewe kama kiongozi wetu mpaka leo hii unaongelea "kilimo kwanza". Huu ni uvivu wa kufikiria.
(Watanzania wenye uelewa nilitegemea wakupigie kelele swala hili)
Ukiboresha ELimu, miundo mbinu, SECURITY, na UMEME. Hamna haja ya kusafiri kila siku kuwapigia magoti INVESTORS. Investors Wataitafuta TZ wenyewe. Hakuna mwekezaji atayekubali kuja nchi ambayo ipo gizani(umeme wa mgao). Au nchi ambayo usalama ni mdogo(security), au nchi ambayo gharama za usafirishaji ni za juu, (kutokana na miundo mbinu mibovu). Otherwise tutasikia wamekazaji uchwara, kama hawa RICHMOND na KAGODA.
1). Nitaanza na ELIMU.
Elimu ndo future ya Taifa lolote. Bila elimu, taifa halina future... In Tanzania, less than 30% ya waTZ ndio educated. Sasa hapo tujiulize. Kuna any bright future kwa Tanzania ya sasa na ya kesho. In Kenya 72% of population are educated. Nahisi hapo umeona big difference.
I thought, Wewe kama baba uliye makini ungekwepa hili swala la East Africa community. Ungeomba hudhuru lisogezwa mbele, maana humo watoto wako watanyanyasika.
Tanzania tunaweka siasa na ufisadi hata kwenye mambo muhimu kama Elimu. Nasikitika kusikia wanafunzi wa vyuoni kupigwa mabomu mara kwa mara. Kwanini usiondoe siasa na ubabe tuwatimizie madai yao. Hao ndio wataalamu wa kesho.... Swali, Je Watapata wapi muda wa kusoma na migomo isiyokwisha?? Kwanini usitatue matatizo yao ili migomo itokomee...
Students should work hard to develop career zao na sio migomo ya kila siku. Kuondoa migomo itasaidia kuondoa siasa ma-vyuoni. Kupiga mabomu wanafunzi unapandikiza chuki mioyoni mwao.
Kuna gap kubwa sana kati ya shule za kata na private. Please work hard to eradicate this. I am sure, ukiamua unaweza.
Tuboreshe shule zetu, uli kupunguza wanafunzi kusoma nje ya nchi. Nchi inapoteza fedha nyingi kutokana na wazazi kulipa school fees za watoto nje ya nchi.
2) MIUNDO MBINU
Miundo mbinu ndio uti wa mgongo wa nchi yoyote hapa duniani. miundo mbinu ya nchi yetu ni mibovu. Cost of living ya maisha ya waTanzania yanapanda kila leo. Hii inachangiwa sana na gharama kubwa za usafirishaji. "Transportation costs are very high in Tanzania."
Mfanyabiashara yoyote Tanzania lazima auze bidhaa zake kwa bei ya juu, ili ku-cover high transport cost zilizotumika.
Hii inawafanya wananchi wa kawaida kuzidi kuumia.
Foleni za mijini, ajali za barabarani, mafuriko yaliyotokea December mwaka jana. Haya yote ni matokeo ya miundo mbinu mibovu. It seems, hakuna kiongozi anayefikira future ya Tanzania kwa kizazi cha kesho.
kilimo kwanza ulichohaidi hakina mwelekeo. Ikiwa mabarabara ya kwenda vijijini ni mabovu. Kila mara tunasikia wakulima wakilalamika mazao ku-ozea shambani. Huu ni ubabaishaji.
Nchi yoyote, inayoendelea haina budi kuwekeza katika miundo mbinu. China na india walianza kuwekeza kwenye barabara na reli. Ndio maana uchumi wao unakuwa kila siku. Nimebahatika kuishi india pamoja na China. Hawa watu wana barabara za lami mpaka vichochoroni. Sasa sijui kwanini huwa UNAWADANGANYA waTZ kuwa nchi yetu kubwa sana, haiwezekani kujenga barabara za lami kila kona. China na india ni nchi kubwa sana, kuliko Tanzania yetu. Wao wamewezaje??.
Mapato yanayopatikana kwenye madini na utalii yanatosha kurekebisha miundo mbinu. Ila kwa sababu ya siasa(politics) na ufisadi kushamiri hakuna kinachopatikana. Ni AIBU kuona shirika la reli na ndege limekufa mikononi mwako. Hii nia AIBU kubwa. Kwa style hii, Tanzania has no future. Kwasababu kila kitu kitakuwa kimekufa.
Viongozi wetu mnafurahia sana kwenda majuu. Nina uhakika, because of infrastructure services nzuri. Ndio maana mnaenda ulaya kila siku. Kwanini msifanye Tanzania yetu kuwa ulaya?? kwa kuweka super infrastructures. I am sure mkiamua mnaweza.
To be continue.... PART 2
Raisi ni kichwa cha waTanzania mil40 na ushehe. Waliopo Tanzania na ughaibuni. Ikiwa mimi mmoja wao. Leo hii najitosa kuzingumzia sector nne. Mosi MIUNDO MBINU, mbili ELIMU, tatu USALAMA, nne UMEME na mwisho KATIBA mpya. Nitaelezea kwa maneno machache nisikuchoshe. Ingali maneno haya yanabeba ujumbe mzito.
Kabla sijaongelea hizo sector 4. Nianze na utangulizi.
Ni uwazi usiofichika, nchi yetu inakabiliwa na matatizo mengi. Maradhi, ujinga(poor education), ajira, umeme, maji, rushwa, ajali barabarani(hili linashika kasi sasa) n.k. Sitakosea nikisema Tanzania kwa sasa iko ICU. Kila kukicha umaskini unaongeza. Watu wamekata tamaa na hali inazidi kuwa ngumu.
Swali linakuja.... Je, wewe kama kichwa na muhimili wa nchi yetu unayaona haya?
Una mikakati gani kuyapunguza atleast matatizo machache niliyotaja hapo juu. Ningefurahi kusikia 2015 utatuambia elimu TZ kwa sasa ni asilimia mia. Au umeme kwa sasa ni 100% hata vijijini wanapata umeme bila shida.
Mimi naamini uongozi wako ukipunguza SIASA(politics) na RUSHWA haya yanawezekana. Siasa(politics) Tanzania imeshamili kila mahali. Siasa imefanya rushwa na ufisadi kuota mizizi.
Kwenye sector za madini, utalii kote kumejaa siasa. Hii inafanya Tanzania tuzidi kuibiwa. Madini na utalii vingeweza kuifanya Tanzania iwe ya neema nyingi. Rushwa na ufisadi unafanya tusiambulie chochote sisi wananchi wa chini.
Siasa ndio inafanya wabunge walilie kuongezewa posho, wakati madaktari wakifanyiwa mzaha.
Mimi sio muumini wa siasa. Na waTanzania walio wengi hawaamini siasa. Wanachotaka, ni kuona rasili-mali zao zinatumika kulete maendeleo..
Kuna siku uvumilivu utatoweka kuona hizo rasili-mali zinanufaisha watu wachache...
Tanzania inahitaji only strong leadership, ili ku-progress. Kama Rasili-mali tunazo. Mwaka mmoja, unatosha kubadili taswira ya nchi yetu. kama kweli kiongozi wetu una nia.
Kama nilivyoeleza awali. Matatizo yapo mengi. Si rahisi kumaliza yote kwa pamoja. Vile vile si busara kushindwa kutatua hata tatizo moja, kwa kipindi cha uongozi wako..... Kila nikirudi Tanzania sioni any changes. Cha zaidi naona matatizo yanazidi. Foleni zinazidi, umeme wa shida, n.k.
Hapa naamanisha nini??
Wewe, kama kichwa na kiongozi, you should point "matatizo". Yaweke kwenye preference yako. (Watu waliosoma management hapa watakuwa wamenielewa) Anza na tatizo moja moja. Naamimi mpaka muda wako umeisha, atleast mawili matatu utakuwa umeyakabili..... Angalizo, hii itawezekana kama kweli una nia..
Kwa hali ya sasa inavyooneka, "Raisi UMEkATA TAMAA." Unasubiri 2015 umkabidhi kijiti mwingine.
Mimi naomba uachane na "kilimo kwanza." Weka nguvu kwenye sector ya elimu, miundo mbinu, security(usalama) na umeme. . Ifikapo 2015 Uwe umepunguza matatizo ya hizo sector hata kwa 50%. Hizi sector zikisimamiwa vizuri, zitainua ajira, kilimo, utalii, biashara, uwekezaji, sector ya afya, kujiajiri, michezo, uvuvi n.k .
Waziri mkuu mstaafu wa Malaysia ameshawahi sema. "Kiongozi shupavu na jasiri, ni yule anatakae thubutu kubadilisha nchi kutoka kutegemea kilimo mpaka viwanda". Miaka 50 ya uhuru Tanzania bado tunaongelea kilimo kwanza. This is SHAME..... Tulianza na kina Malaysia, China, Thailand, Singapore, India. Hawa wako mbali sasa, sisi bado tumebakia kwenye kilimo.
Cha kushangaza Wewe kama kiongozi wetu mpaka leo hii unaongelea "kilimo kwanza". Huu ni uvivu wa kufikiria.
(Watanzania wenye uelewa nilitegemea wakupigie kelele swala hili)
Ukiboresha ELimu, miundo mbinu, SECURITY, na UMEME. Hamna haja ya kusafiri kila siku kuwapigia magoti INVESTORS. Investors Wataitafuta TZ wenyewe. Hakuna mwekezaji atayekubali kuja nchi ambayo ipo gizani(umeme wa mgao). Au nchi ambayo usalama ni mdogo(security), au nchi ambayo gharama za usafirishaji ni za juu, (kutokana na miundo mbinu mibovu). Otherwise tutasikia wamekazaji uchwara, kama hawa RICHMOND na KAGODA.
1). Nitaanza na ELIMU.
Elimu ndo future ya Taifa lolote. Bila elimu, taifa halina future... In Tanzania, less than 30% ya waTZ ndio educated. Sasa hapo tujiulize. Kuna any bright future kwa Tanzania ya sasa na ya kesho. In Kenya 72% of population are educated. Nahisi hapo umeona big difference.
I thought, Wewe kama baba uliye makini ungekwepa hili swala la East Africa community. Ungeomba hudhuru lisogezwa mbele, maana humo watoto wako watanyanyasika.
Tanzania tunaweka siasa na ufisadi hata kwenye mambo muhimu kama Elimu. Nasikitika kusikia wanafunzi wa vyuoni kupigwa mabomu mara kwa mara. Kwanini usiondoe siasa na ubabe tuwatimizie madai yao. Hao ndio wataalamu wa kesho.... Swali, Je Watapata wapi muda wa kusoma na migomo isiyokwisha?? Kwanini usitatue matatizo yao ili migomo itokomee...
Students should work hard to develop career zao na sio migomo ya kila siku. Kuondoa migomo itasaidia kuondoa siasa ma-vyuoni. Kupiga mabomu wanafunzi unapandikiza chuki mioyoni mwao.
Kuna gap kubwa sana kati ya shule za kata na private. Please work hard to eradicate this. I am sure, ukiamua unaweza.
Tuboreshe shule zetu, uli kupunguza wanafunzi kusoma nje ya nchi. Nchi inapoteza fedha nyingi kutokana na wazazi kulipa school fees za watoto nje ya nchi.
2) MIUNDO MBINU
Miundo mbinu ndio uti wa mgongo wa nchi yoyote hapa duniani. miundo mbinu ya nchi yetu ni mibovu. Cost of living ya maisha ya waTanzania yanapanda kila leo. Hii inachangiwa sana na gharama kubwa za usafirishaji. "Transportation costs are very high in Tanzania."
Mfanyabiashara yoyote Tanzania lazima auze bidhaa zake kwa bei ya juu, ili ku-cover high transport cost zilizotumika.
Hii inawafanya wananchi wa kawaida kuzidi kuumia.
Foleni za mijini, ajali za barabarani, mafuriko yaliyotokea December mwaka jana. Haya yote ni matokeo ya miundo mbinu mibovu. It seems, hakuna kiongozi anayefikira future ya Tanzania kwa kizazi cha kesho.
kilimo kwanza ulichohaidi hakina mwelekeo. Ikiwa mabarabara ya kwenda vijijini ni mabovu. Kila mara tunasikia wakulima wakilalamika mazao ku-ozea shambani. Huu ni ubabaishaji.
Nchi yoyote, inayoendelea haina budi kuwekeza katika miundo mbinu. China na india walianza kuwekeza kwenye barabara na reli. Ndio maana uchumi wao unakuwa kila siku. Nimebahatika kuishi india pamoja na China. Hawa watu wana barabara za lami mpaka vichochoroni. Sasa sijui kwanini huwa UNAWADANGANYA waTZ kuwa nchi yetu kubwa sana, haiwezekani kujenga barabara za lami kila kona. China na india ni nchi kubwa sana, kuliko Tanzania yetu. Wao wamewezaje??.
Mapato yanayopatikana kwenye madini na utalii yanatosha kurekebisha miundo mbinu. Ila kwa sababu ya siasa(politics) na ufisadi kushamiri hakuna kinachopatikana. Ni AIBU kuona shirika la reli na ndege limekufa mikononi mwako. Hii nia AIBU kubwa. Kwa style hii, Tanzania has no future. Kwasababu kila kitu kitakuwa kimekufa.
Viongozi wetu mnafurahia sana kwenda majuu. Nina uhakika, because of infrastructure services nzuri. Ndio maana mnaenda ulaya kila siku. Kwanini msifanye Tanzania yetu kuwa ulaya?? kwa kuweka super infrastructures. I am sure mkiamua mnaweza.
To be continue.... PART 2