''Happy new hr! Ote, happy bday! wai ngakyi, marry xsmas! Mbutana! Ooh happy Valentine! ngasuko ulalu, happy morning! chaa! kundiamba lee, Mwaka mpya mwema''
Nai yoo mbe otaramo cha lanye maka womsia
Happy new Year GP!!!!!
Ila mimi? Ubaguzi huo!
toa kitu upate kitu
SBL au TBL LOL!hahahaaaa,
duh, thank God nimeuona mwaka!, ila tofauti na miaka mingine mwaka huu nadhani itabadi nikaombe kazi bruwarizi, maana loh. SISEMI.
hahahaaaa,
duh, thank God nimeuona mwaka!, ila tofauti na miaka mingine mwaka huu nadhani itabadi nikaombe kazi bruwarizi, maana loh. SISEMI.
nimeanza mwaka 2010 na hawa jamaa, you know wat i mean???
Asante sana mkuu,japo huni name hapo najua nimo katika hizo etc***10wapwazzzz salaam!!,
napenda kuchukua fursa hii kuwatakia nyote heri ya mwaka mpya 2010!.
MENGI NIMEJIFUNZA kwa muda mfupi hapa JF, mkuu FIDEL uko juu haswa kwenye kuoganaizi get tugeza!, hii inawezesha kufahamiana na wapwazzz, mkuu GEOFF nakupa bigup sana hasa kwa tukutuku yako kunipa kampani mara kadhaa na kupiga kambi eidha chawote au kwa kinibu!!.
wapwazzz wengine KAIZER na 'the pilllar' XPIN mzee wa O-pub mko juu pia, wengine sikubahatika kukutana nao kina ZD, CARMEL, BHT, NGULI, etc etc etc ila natumaini mwaka 2010 nitakumbana nao kwenye get tugeza kadhaa!.
salaam zangu ziwafikie wana JF WOTE popote mlipo bila kujali ni MPWAZZ au LEGENDZZZ!, wote JF inatuunganisha.
WISH U ALL HAPPY NEW YEAR 2010!!.
CLICK HERE
yap mkuu KISODA2!!,Asante sana mkuu,japo huni name hapo najua nimo katika hizo etc***10
Nakutakia mwaka wenye mafanikio sana katika kila jambo la kheri.
Mungu akubariki.
Happy new year kwa woooooooote pia!!!!!
yap mkuu KISODA2!!,
JF ni familia kuuuuuubwa sana, wote pamo-jah[/QUOTE]
dah, mpwa naonan na wewe unataka kwenda kubembea Jamaica kama mkulu! Happy new year!
hahahaaaa, si nchezo.Ha!ha!ha!Haaaaa...mkuu George.....Mungu alituonyesha na hata kuukaribisha mwaka kwa ile mchemsho ya kuku pale Chawote.......that thing isn't joke! Many thanks to you and mzee wa Tuktuku aka homu boi Geoff......! Mwaka huu umeanza vizuri sana kwa kweli!
Cheers!